Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Chungu ya Mabeberu imemfikia Uhuru Kenyatta uzalendo umemshinda ayataka mataifa ya ulaya kuacha kuingilia maswala ya ndani ya nchi yao (Kenya)
'Mtuheshimu ndio tuwaheshimu', Rais Kenyatta aonya nchi za nje dhidi ya kuingilia masuala yake ya ndani
Chanzo: BBC SWAHILI.
MY TAKE; Uhuru Kenyatta hakujua kuwa Mabeberu hawana marafiki wa kudumu yeye kutanjwa tu kwa nchi yake kuwa sio sehemu salama ya kutembelea kwasababu ya COVID 19 tayari povu linamtoka alifikiri Magufuli ni mjinga anaye wapiga hawa watu kila siku.
'Mtuheshimu ndio tuwaheshimu', Rais Kenyatta aonya nchi za nje dhidi ya kuingilia masuala yake ya ndani
Chanzo: BBC SWAHILI.
MY TAKE; Uhuru Kenyatta hakujua kuwa Mabeberu hawana marafiki wa kudumu yeye kutanjwa tu kwa nchi yake kuwa sio sehemu salama ya kutembelea kwasababu ya COVID 19 tayari povu linamtoka alifikiri Magufuli ni mjinga anaye wapiga hawa watu kila siku.