Uhuru Kenyatta patana kwanza na makamu wako ndio usuluhishe migogoro ya DRC

Uhuru Kenyatta patana kwanza na makamu wako ndio usuluhishe migogoro ya DRC

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Katika hali ya kustaajabisha siasa za Africa,Raisi wa taifa moja kusimamia mazungumzo ya kuleta amani DRC baina ya waasi na serikali ya Tshikedi ili hali raisi wa taifa ilo ndani ya nchi ana mgogoro na makamu wake wa Raisi

Tena mgogoro wa wazii kabisaa wa maslai ya madaraka, mgogoro huu ulichukua picha mpya siku ya Mei mosi ambapo Raisi wa taifa la Kenya Hon. Uhuru Kenyatta alimtupia maneno ya kumtaka akae pembeni makamu wake wa raisi Dr. Ruto

Sasa hili kiukweli lina mpunguzia credit kiongozi huyu wa Kenya ktk kusuluhisha mgogoro wa DRC baina ya serikal na makundi ya waaasi.
 
Kwahivyo hujui kwamba rais UK anatimiza majukumu yake, kama mwenyekiti wa jumuiya ya Afrika Mashariki na sio kama rais wa taifa la Kenya? Majukumu ambayo ni pamoja na kusuluhisha migogoro ya huyu mwanachama mpya wa jumuiya ya AM.

Ulikuwepo wapi alipokubaliwa kujaza nafasi hiyo ya mwenyekiti wa jumuiya hii? Maanake hapo ndipo hivi vilio vyako vingetia fora zaidi. Sasa hivi hamna namna jombaa, tulia tu na ukubali kuongozwa. Amani kule DRC itakufaidi hata na wewe pia, ukiwa kwenu mashinani huko huko Kolomije.
 
 K2
Kwahivyo hujui kwamba rais UK anatimiza majukumu yake, kama mwenyekiti wa jumuiya ya Afrika Mashariki na sio kama rais wa taifa la Kenya? Majukumu ambayo ni pamoja na kusuluhisha migogoro ya huyu mwanachama mpya wa jumuiya ya AM.

Ulikuwepo wapi alipokubaliwa kujaza nafasi hiyo ya mwenyekiti wa jumuiya hii? Maanake hapo ndipo hivi vilio vyako vingetia fora zaidi. Sasa hivi hamna namna jombaa, tulia tu na ukubali kuongozwa. Amani kule DRC itakufaidi hata na wewe pia, ukiwa kwenu mashinani huko huko Kolomije.
Anapoteza credibility ya kusimamia hayo mazungumzo
 
Katika hali ya kustaajabisha siasa za Africa,Raisi wa taifa moja kusimamia mazungumzo ya kuleta amani DRC baina ya waasi na serikali ya Tshikedi ili hali raisi wa taifa ilo ndani ya nchi ana mgogoro na makamu wake wa Raisi

Tena mgogoro wa wazii kabisaa wa maslai ya madaraka, mgogoro huu ulichukua picha mpya siku ya Mei mosi ambapo Raisi wa taifa la Kenya Hon. Uhuru Kenyatta alimtupia maneno ya kumtaka akae pembeni makamu wake wa raisi Dr. Ruto

Sasa hili kiukweli lina mpunguzia credit kiongozi huyu wa Kenya ktk kusuluhisha mgogoro wa DRC baina ya serikal na makundi ya waaasi.
Tofautisha kati ya malumbano ya maneno ambayo ndio demokrasia na inakubalika na vita vya mtutu wa bunduki na umwagaji wa damu ambao haukubaliki. Nyie kwenu Tanzania hamna demokrasia ya kweli na ndio maana wajinga kama wewe hawaelewi kwamba malumbano ya maneno ndani ya serikali ni kitu cha kawaida kwa nchi yenye demokrasia ya kweli. Huko kwenu hata upinzani ambayo kazi yao ni kupinga serikali hawaruhusiwi kufanya hivyo na Tundu Lissu anamiminiwa marisasi na Freeman Mbowe anatiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi kwa kupinga serikali. Jifunzeni demokrasia ya kweli ambapo makamu wa rais na rais wanaweza kutofautiana na maisha ikasonga mbele.
 
Hivi ninyi wakenya mpo na shida gani?, Ninyi SI ndio mlikua mstari wa mbele kusifia Uhuru Kenyatta kwa kuamua kufanya maelewano na Raila Odinga na kusifia kwamba amefanya jambo la kiungwana ili kumalizia mivutano ya kisiasa yaliyokua yamesimamisha maendeleo ya Kenya?. Vipi Leo mkishauriwa kwamba Uhuru Kenyatta aelewane na Rutto Kama alivyofanya kwa kwa Raila mnasema sio lazima kwasababu hiyo ni Demokrasia?

Kwahiyo kupatana na Raila Odinga mlitetea na kusema Kenya Kuna Demokrasia kwasababu serikalini na wapinzani wanaelewana, lakini Tanzania hakuna Demokrasia kwasababu wapinzani hawapewi nafasi.

Hivi Sasa Uhuru Kenyatta na Rutto hawaelewani bado mnasema Kenya Kuna Demokrasia kwasababu kugombana ni sehemu ya Demokrasia lakini Tanzania ambako mama Samia ameondoa Yale yote yaliyokua yanapunguza uhuru wa kisiasa, bado mnasema hakuna Demokrasia na kutoa mifano ya nyuma ili tu kuonyesha kwamba Kila jambo linalofanyika Kenya ni sahihi, The Perfect syndrome".

By the way umeona "ranking" za mwaka Jana za Dunia katika nchi zenye Demokrasia duniani?. Wacheni kujificha nyuma ya kivuli chenu wenyewe, Hilo la Rutto na Uhuru kufarakana linawapa picha mbaya na ni ishara mbaya Sana kwa fujo kutokea uchaguzi ujao, Sasa mkiambiwa badala ya kujirekebisha mnajifanya wajuaji wa kila kitu


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
 K2

Anapoteza credibility ya kusimamia hayo mazungumzo
Sawa tu na CCM inavopoteza credibility, kisa uadui kama wa paka na panya, dhidi ya upinzani. Mngeanza nyinyi kwa kutuonesha mfano, pataneni kwanza na mliowapiga risasi, mkawambambikia kesi hadi mkapelekea watafute hifadhi nje ya nchi.
 
Tofautisha kati ya malumbano ya maneno ambayo ndio demokrasia na inakubalika na vita vya mtutu wa bunduki na umwagaji wa damu ambao haukubaliki. Nyie kwenu Tanzania hamna demokrasia ya kweli na ndio maana wajinga kama wewe hawaelewi kwamba malumbano ya maneno ndani ya serikali ni kitu cha kawaida kwa nchi yenye demokrasia ya kweli. Huko kwenu hata upinzani ambayo kazi yao ni kupinga serikali hawaruhusiwi kufanya hivyo na Tundu Lissu anamiminiwa marisasi na Freeman Mbowe anatiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi kwa kupinga serikali. Jifunzeni demokrasia ya kweli ambapo makamu wa rais na rais wanaweza kutofautiana na maisha ikasonga mbele.
Kwan yale machufuko yenu ya 07 si yalianzia ktk malumbano au yalizuka tu from no where ?. Sikia ww kijamaa kila jambo lina chimbuko lake , problem.root. leo wanaanza kwa kirushiana maneno kesho utoshangaa kusikia wana zichapa
 
Sawa tu na CCM inavopoteza credibility, kisa uadui kama wa paka na panya, dhidi ya upinzani. Mngeanza nyinyi kwa kutuonesha mfano, pataneni kwanza na mliowapiga risasi, mkawambambikia kesi hadi mkapelekea watafute hifadhi nje ya nchi.
Hivi Kati ya Kenya na Tanzania, wapi wananchinjana siku za uchaguzi?, Nchi gani ilishawahi kusulihisha nchi nyingine ili wasiendelee kuchinjana Kama wanyama?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwahivyo hujui kwamba rais UK anatimiza majukumu yake, kama mwenyekiti wa jumuiya ya Afrika Mashariki na sio kama rais wa taifa la Kenya? Majukumu ambayo ni pamoja na kusuluhisha migogoro ya huyu mwanachama mpya wa jumuiya ya AM.

Ulikuwepo wapi alipokubaliwa kujaza nafasi hiyo ya mwenyekiti wa jumuiya hii? Maanake hapo ndipo hivi vilio vyako vingetia fora zaidi. Sasa hivi hamna namna jombaa, tulia tu na ukubali kuongozwa. Amani kule DRC itakufaidi hata na wewe pia, ukiwa kwenu mashinani huko huko Kolomije.
Hana sifa za kupatanisha migogoro ya nchi wakati ya seikali yake imemshinda! Aache ukimbelembele na kujibaragua!
 
pingli-nywee mnali ya kwamba ni mwenyekiti wa EAC lkn ktk mtazamo tu wakaida unapata wapi utashi wa kisiasa wa kusuluhisha migogoro baina ya swrikal na waasi ..ili hali ndani ya nchi yako una.mgogoro wa waziwazi na makamo.wako wa raisi ?

Ingwkuwa busara sanaa kama ange solve ussue na his VP first hapo ingempa sifa na utaashi wa kisiasa ...
 
pingli-nywee mnali ya kwamba ni mwenyekiti wa EAC lkn ktk mtazamo tu wakaida unapata wapi utashi wa kisiasa wa kusuluhisha migogoro baina ya swrikal na waasi ..ili hali ndani ya nchi yako una.mgogoro wa waziwazi na makamo.wako wa raisi ?

Ingwkuwa busara sanaa kama ange solve ussue na his VP first hapo ingempa sifa na utaashi wa kisiasa ...
Hivi mtu keshasema Ruto alipanga kumpindua ,kumbuka ni Raisi anataarifa nyingi Sana, utataka suluhu na mtu huyo?JK na Lowasa haziivi mpaka Leo ingawa walikua marafiki,siasa haziitaji unachotaka wewe
 
Hivi mtu keshasema Ruto alipanga kumpindua ,kumbuka ni Raisi anataarifa nyingi Sana, utataka suluhu na mtu huyo?JK na Lowasa haziivi mpaka Leo ingawa walikua marafiki,siasa haziitaji unachotaka wewe
Wacha udaku, nani amekuambia JK na Luwasa hawaelewani?, Weka ushahidi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom