Uhuru Kenyatta: Polisi acheni kutumika vibaya na Serikali

Uhuru Kenyatta: Polisi acheni kutumika vibaya na Serikali

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,483
Rais Mstaafu wa Kenya, amewataka Polisi wa Kenya Kutenda haki na kuacha kutumika Vibaya kwa manifaa ya Serikali.

Imejili baada ya kutaka kuzuiliwa kuingia kituo cha Polisi.

Cheo ni dhamana. Sasa hivi Uhuru Kenyatta anazuiliwa na Polisi!

 
Rais Mstaafu wa Kenya, amewataka Polisi wa Kenya Kutenda haki na kuacha kutumika Vibaya kwa manifaa ya Serikali.

Imejili baada ya kutaka kuzuiliwa kuingia kituo cha Polisi.

Cheo ni dhamana. Sasa hivi Uhuru Kenyatta anazuiliwa na Polisi!


View attachment 2602165
 
Back
Top Bottom