valet de chambre
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,044
- 1,112
Ndugu ardhi tena pamoja na title deed ipo inauzwa Kenya siku zote. Fedha yako tu. Propaganda za kijinga vidi ya Kenya zinagandisha akili ya Watanzania wengi.
Hamkuambia mtoe ardhi. Nyie bakini na ardhi yenu.Mkuu kwa hili hapana. Kenyatta ardhi yote asilimia kubwa ni ya familia yake. Hii hapana Tanzania hatutakuwa na wema huo kabsaaa. Ardhi yetu hakuna kutoa kwa wasio watz.
Sure hii ni sound 100%Hiyo ardhi ya kumiliki Kenya itatoka wapi! Hii ina sound well kwa wasioweza kufikiria kwa ukamilifu!!
Acha kudanganya dunia wewe, tatizo kubwa linaloisumbua Kenya hata kabla ya kupata Uhuru ni umilikaji wa ardhi, jambo lililochochea kuongezeka kwa ukabila, hiyo ardhi ya kuwapa wananchi wa nchi zingine mumeitoa wapi?Ndugu ardhi tena pamoja na title deed ipo inauzwa Kenya siku zote. Fedha yako tu. Propaganda za kijinga vidi ya Kenya zinagandisha akili ya Watanzania wengi.
Hatukatai ila hatutaki ushirikiano uliokaa upogoupogo.kama ni Win win situation nadhani hatuna tatizo.tusichotaka ni chako chetu,changu changu.Watanzania kwa nini waoga, mwanadamu ni raia wa dunia Na ni raia wa kuzaliwa, maendeleo hayawezi kuja bila uhusiano wa uwekezaji, kama mkenya akijenga hawezi kuondoka nyuma, akilima hawezi kuondoka na shamba lazima tusiwe waoga bila sababu, dunfia ya wenzetu siyo wazawa tu ndiyo wanaoleta maendeleo, lazima tufunguke Watanzania ni waoga sijui kwanini wakati wote tunawaza kuibiwa, hata Marekani haijajengwa na wamaerkani tu,
Hata Rwanda, hata huko Europe sera ni hiyo hiyo, je unataka kutuambia Rwanda wa ardhi ya kutosha kwa sababu wana sera hiyo?Sera ardhi Kenya stricly willing buyer, willing seller. uccm utakuua ndugu.
Labda mimi nina mtazamo tofauti kidogo!Hiyo ardhi ya kumiliki Kenya itatoka wapi! Hii ina sound well kwa wasioweza kufikiria kwa ukamilifu!!
There is no free lunch.There must be a hook somewhere.tanzania is full of people with very small minds. Uhuru's statement is very clear that what he has ordered will not be done on the basis of reciprocity, please comprehend that before muanze kutapa tapa!
Ngoja nizichange mapema twende tukawapindue wakikuyu....[emoji14] [emoji14]“As a mark of our continued commitment to you, our Brothers and Sisters in the East African Community; from today, you will be treated like Kenyans. Like your Kenyan brothers and sisters, you will need only your identity card,” he said, adding that “You can now work, do business; own property, farm and if you wish, and find a willing partner, you can marry and settle in Kenya.”
“Our Brothers and Sisters in the East African Community, you are our closest friends; our fate and yours are joined at the hip; our troubles and triumphs are yours, and yours are ours. Together, we can deliver the peace and prosperity for which our citizens are crying out; divided, we will struggle to realise the full potential of our people.”
On visas, Kenyatta said the freer Africans to travel and live with one another, the more integrated and appreciative of their diversity they will become.
“The political balkanization that risks our mutual security, the negative politics of identity, will recede as our brotherhood expands to embrace more Africans. Today, I am directing that any African wishing to visit Kenya will be eligible to receive a visa at the port of entry. To underscore Kenya’s commitment, this shall not be done on the basis of reciprocity.”
KENYATTA: East Africans to be treated like Kenyans
Acha maneno yako yasiyo na mantinki, kwanini yeye kama kiongozi wa nchi asiwe mfano mzuri kwa kuachia angalau nusu ya maeneo anayoyamiliki ili kuwakaribisha wageni wanaotaka kuja kuishi Kenya?tanzania is full of people with very small minds. Uhuru's statement is very clear that what he has ordered will not be done on the basis of reciprocity, please comprehend that before muanze kutapa tapa!
Se connecter à Facebook | FacebookAmetusaidia pa kwenda kwani badala ya kukimbilia ulaya, ni kwenda jirani tu na kufanya maisha kwani hapa hapafai tena.
Kachukue uraia kabisa, lakini ujue Tanzania hairuhusu dual citizenship, yakikushinda huko hakuna kurudi nyuma, utadumbukia Somalia au South SudanBora sasa nihamie kenya, bongo nyoso na michosho tu
Usifikiri kama chura weweHahahaa hicho kipengele kilimlenga Magufuli sadly he quit, inakuwaje Kenya itoe ardhi kwa wanaafrika Mashariki wakati wenyewe hawana mpaka wanakuja kuvamia hifadhi zetu?
No way msidhani kwa kufanya hivyo Tanzania itaiga never that will never happen Tanzania is for Tanzanians no free land for Kenyans
And Kenyan are big minds, isn't it? F**k you! Kwendaaa na vidharau vyenu kwa sisi wa Tz.tanzania is full of people with very small minds. Uhuru's statement is very clear that what he has ordered will not be done on the basis of reciprocity, please comprehend that before muanze kutapa tapa!