Uhuru Kenyatta sleeping on twitter tweeting at 0630

Sammuel999

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2016
Posts
3,481
Reaction score
2,347
Ameamka leo 6:30 Kutweet
Tuko pamoja dumbassery



But we thank Kenyans for standing upto him



Kura itakuwa uasin gishu na gatundu pekee
 
You do realize si Uhuru anatuma izo tweets??
What does the account read??

Unakuanga na yeye ndio utuambie sio yeye??

Trump anatuma tweets zake .....kaa na hyo upsycho wako mbali na mimi priss!!
 
What does the account read??

Unakuanga na yeye ndio utuambie sio yeye??

Trump anatuma tweets zake .....kaa na hyo upsycho wako mbali na mimi priss!!
Shida yako ni emotions chungu mzima ju ya siasa..siasa si chuki bana grow up.....and yes Uhuru Facebook and Twitter accounts are run by individual employed by the president. That's why sometimes you see he has tweeted or posted something while you're seeing him live on TV addressing a rally
 
Huyu jamaa hadi nacheka anavyokasirika,nadhani huwa anatamani hata kupasua screen/key board yake ukimpinga ha ha ha
 
Vipi Watazania mna cha kujifunza hapa, hebu ona baadhi ya Wakenya wanavyomjibu rais wao kwenye mitandao kila akitoa tamko humo, yaani huo uhuru nina uhakika mnautamani sana muweze kujibizana na rais wenu, japo ipo siku niliona akisema anatamani mitandao ya kijamii ingefungwa....hehehe
 
Mtanzania akijaribu kujibizana na JPM hivo hata vidole tu vitashindwa kubonyeza simu. Yaani nimeona kuna mtu ameita Uhunye Mungiki, dah.
 
Kenyatta akona wasee wa twitter na FB...kuna two accounts, President KE na Uhuru Kenyatta both of which are run by a group of millennials...
 
Mtanzania akijaribu kujibizana na JPM hivo hata vidole tu vitashindwa kubonyeza simu. Yaani nimeona kuna mtu ameita Uhunye Mungiki, dah.

Wabongo siku hizi naona mitandaoni wanajadili kuhusu watu wasiojulikana, yaani ukisema ng'wee
 
KOT community sio mchezo....yaani mpaka wanajibizana na Raisi...this community can bring you up (Githeri man) or bring you down (Koffi Olumide)...Huwezi thubutu jibizana na Magu mtandaoni...
 
Kwenye hizo replies kuna moja inasema wakenya wanakufa sababu ya mgomo wa manesi uliodumu kwa siku 139.
So wakenya wanakufa sababu ya mgomo wa matabibu, All shabab, njaa hasa kule Turkana, chaguzi zenye kudumu karibia robo mwaka nk........mh! kumbe kuishi MIC ni gharama hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…