Eti wana JF, hivi ni vizuri mpenzi wako ambaye either ni member au anapenda kuperuzi hapa JF kujua username unayotumia? Je akijua username yako kwa namna fulani hawezi kukunyima uhuru wa kutoa au kuchangia mada hasa zinazohusu mahusiano/mapenzi? Je vp kuhusu kumpa passwords za emails zako?
eti wana jf, hivi ni vizuri mpenzi wako ambaye either ni member au anapenda kuperuzi hapa jf kujua username unayotumia? Je akijua username yako kwa namna fulani hawezi kukunyima uhuru wa kutoa au kuchangia mada hasa zinazohusu mahusiano/mapenzi? Je vp kuhusu kumpa passwords za emails zako?
PJ upo???Peaneni Usernames, lakini ukitaka kuwa free katika mapenzi fungua ID nyingine ili ubwatuke huko kama sisi!
PJ hapo umesiliba haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Peaneni Usernames, lakini ukitaka kuwa free katika mapenzi fungua ID nyingine ili ubwatuke huko kama sisi!
atajijua mwenywe katumwa na nani achungulie?,mimi nipo na mjomba wangu humu mimi neshamjua mpaka user name yake ila yangu hajaijua mbaya zaidi humu anatoa mabombastic mada na michango na home anajifanya ana busara basi mi namchora tu ni moja kati ya starehe yangu niipatayo humu.tena tangu tupo kwenye web forum fulani hivi longi mbaya zaidi kanitumia pm kunitongoza mimi kicheko mwali nishamlia sana voucher zake siendi kwenye miadi namgandisha aibu baba huyo halafu mkewe twaelewana patamu hapo,nimegeuza katuni yangu ya kujifurahisha ninapokasirika.
Peaneni Usernames, lakini ukitaka kuwa free katika mapenzi fungua ID nyingine ili ubwatuke huko kama sisi!
atajijua mwenywe katumwa na nani achungulie?,mimi nipo na mjomba wangu humu mimi neshamjua mpaka user name yake ila yangu hajaijua mbaya zaidi humu anatoa mabombastic mada na michango na home anajifanya ana busara basi mi namchora tu ni moja kati ya starehe yangu niipatayo humu.tena tangu tupo kwenye web forum fulani hivi longi mbaya zaidi kanitumia pm kunitongoza mimi kicheko mwali nishamlia sana voucher zake siendi kwenye miadi namgandisha aibu baba huyo halafu mkewe twaelewana patamu hapo,nimegeuza katuni yangu ya kujifurahisha ninapokasirika.
umechema kweli tupu bib wewe!!kama mkeo/mumeo mpe ................kama 'mchuchu' usimpe
(hapa nachukulia scenario kuwa watu waliokuwa hawajafunga ndoa wako katika hali rahisi ya kuachana kuliko wale walioko kwenye ndoa)
atajijua mwenywe katumwa na nani achungulie?,mimi nipo na mjomba wangu humu mimi neshamjua mpaka user name yake ila yangu hajaijua mbaya zaidi humu anatoa mabombastic mada na michango na home anajifanya ana busara basi mi namchora tu ni moja kati ya starehe yangu niipatayo humu.tena tangu tupo kwenye web forum fulani hivi longi mbaya zaidi kanitumia pm kunitongoza mimi kicheko mwali nishamlia sana voucher zake siendi kwenye miadi namgandisha aibu baba huyo halafu mkewe twaelewana patamu hapo,nimegeuza katuni yangu ya kujifurahisha ninapokasirika.
haina haja ya kupeana hayo ma-username na pwd. kila mtu ana uhuru wake, hata kama unatoa michango ya busara.