Uhuru ni Mendeleo,Maendeleo ni uhuru.

Uhuru ni Mendeleo,Maendeleo ni uhuru.

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Kuna Mwanazuoni mmoja anaitwa F.G.Riggs yeye aliefafanua maana ya Maendeleo(Development) kwa Dhana ya Development is Autonomous in which society are able to shape their Social,Economic and Political Enviroment(Ecology).

JE,jamii nyingi za kiafrika zimeweza kufikia maendeleo?Maendeleo ya kifamilia,Chama au Nchi?

Tunawezaje kufika katika level hii ya Maendeleo?
 
Hapa kwetu hakuna uhuru, bali tuna utulivu pekee na ndio sababu kubwa hatuendelei.
Mtoto hanyonyeshwi hadi alie...🤗
 
Back
Top Bottom