Uhuru orders digital driving licence use by June next year - Politics and policy

Kenya imechelewa sana kwa hili in all East Africa. Hata plate numbers bado ni za Soviet era na ndiyo ina tamba eti inaongoza EA kuwa digital
 
Kenya imechelewa sana kwa hili in all East Africa. Hata plate numbers bado ni za Soviet era na ndiyo ina tamba eti inaongoza EA kuwa digital
Imechelewa kwa lipi haswa mkuu ku digitalise vibali vya kupeleka gari ama plate number?
 
Hahahaaa....Wadanganyikaaa!!!! 🙂 🙂 🙂 🙂
 
""Kwaajiri"".......ni ndege aina gani????? 🙂
Wewe check habari kuhusu digital driving license.
Tanzania since 2010 nyie baada ya miaka 8 ndio mnakuja na hizo issue sisi tumeshasahau.
 
Wewe check habari kuhusu digital driving license.
Tanzania since 2010 nyie baada ya miaka 8 ndio mnakuja na hizo issue sisi tumeshasahau.


Asante kwa kujulisha
 
Kah!!! Ndio nini sasa umeleta hapa. Nimeona tu kitu kinacofanana na one center ya kupata IDs.
Haihusiani na thread hii.
Tunaongelea digital driving license nyie mpo nyuma miaka 8.
Acha kujishebedua.
No worries. Kutangulia sio kufika na tushafika na we will be doing it better and much more efficient than u guys. kama umesoma na kuelewa hii article you'd actually know what i am taking about but hey what the heck.

FYI- i dont recall comparing this project to yours so i just cnt help but wonder.
 
Kha ndio nini sasa hiyo.
Unajisifu kitu ambacho hakipo.
Usiichukulie TZ poa sawa dogo.

Halafu ulikuwa unabwatuka kwamba tutakuja kujifunza kwenu!!!!

Jitahidi kutafuta taarifa zenye evidences na references
 
Kha ndio nini sasa hiyo.
Unajisifu kitu ambacho hakipo.
Usiichukulie TZ poa sawa dogo.

Halafu ulikuwa unabwatuka kwamba tutakuja kujifunza kwenu!!!!

Jitahidi kutafuta taarifa zenye evidences na references
Sawa mtu mzima so kama Tz wako nayo ni since 2010 are we not allowed kujivunia?
 
Dont be cowed bro i know tz, majority of the citizens have no identity cards!! They use any identification that one has, no difference with somalia. Saw people using driving licences as ids?!!! Huko ni uozo mtupu hamna kitu. And the guy doesnt even understand what is being digitised, its the licences not the plates, the plates are on roll out at kamiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…