Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nitakuwa live hapa nikiwapa updates.
sasa ni igizo la boss uchwara anayetoa ajira kwa mtindo wa mkono mtupu haurambwi.
kabla ya hapo kulikuwa na fracas kidogo kati ya wanausalama na watu wa bodaboda. hali imetulia.
Uwe unaingia kwenye uzi na kuedit kwa kuandika updates tu ili kuweka mtiririko mzurisasa linapigwa rhumba live: nadina
anayeimba ni mashallah.
[emoji18]sasa linapigwa rhumba live: nadina
anayeimba ni mashallah. anaitwa faya tess.
wanenguaji ni moto faya.
sawa mkuu.Uwe unaingia kwenye uzi na kuedit kwa kuandika updates tu ili kuweka mtiririko mzuri
sasa linapigwa rhumba live: nadina
anayeimba ni mashallah. anaitwa faya tess.
wanenguaji ni moto faya.
subiriUhuru ameahidi nini! Haswa sisi watu wa sekta binafsi
Nitakuwa live hapa nikiwapa updates.
sasa ni igizo la boss uchwara anayetoa ajira kwa mtindo wa mkono mtupu haurambwi.
kabla ya hapo kulikuwa na fracas kidogo kati ya wanausalama na watu wa bodaboda. hali imetulia.
saa 5:00 muda wa rhumba.
anaanza bibie faya tess na kibao nadina cha mbilia bel, wanenguaji ni moto faya.
sasa anatumbuiza Nyboma Mwan'dido kama yeye. kazeeka lakini bado wamo.
saa 5:30 burudani nyingine ya wafanyakazi
saa 6:30 anaongea Mike Soko, Gavana wa Nairobi.