Kazaliwa 1992, ina maana msimu wa 2005/2006 aliichezea Simba akiwa na miaka 13 π π, ataitwa Stars soon
Jamani simba nomaa okwii tumeuza, Uhuru suleman tumeuza pia!
Wale wanaojiita wa kimataifa vp mumeuza mchezaji gani nje ya nchi musimu huu???
Kazaliwa 1992, ina maana msimu wa 2005/2006 aliichezea Simba akiwa na miaka 13 π π, ataitwa Stars soon
Sina uhakika na umri wake wa 23years??
Huyu ni uhuru yupi mwenye 23yrs
Miaka 23????
Yaani wabongo sijui kwanini aisee Yaani Uhuru Awe na miaka 23? Mpira wenyewe wa kibongo mpaka uonekane kipaji chako tayari una 20s kwanini angalau hakusema 25,26,au 27?
Wabongo bhana ni shida sana.
Badala ya kumpongeza Kwa jitihada alizoonesha nyie mnang'ang'ana na umri wake.
Shame on you.