Uhuru uliojaa mashaka, usiojali utu - je, wafaa kwa lipi?

Uhuru uliojaa mashaka, usiojali utu - je, wafaa kwa lipi?

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Naam, malengo ya kujitawala yalikuwa kujenga taifa moja, taifa lenye nguvu na lililo na usawa kwa wote.

Miaka 60 ya uhuru bado hakuna haki, tabaka masikini linanyanyasika, hakuna usawa wa kimaamuzi na keki ya taifa inaliwa na wachache.

Mabadiliko mengi ya kimfumo yanahitajika ili kila moja auone uhuru na kuuishi kabisa.

HERI KUWA MTUMWA UGENINI KULIKO KUWA MTUMWA KWA NDUGU YAKO.
 
Naam, malengo ya kujitawala yalikuwa kujenga taifa moja, taifa lenye nguvu na lililo na usawa kwa wote.
Miaka 60 ya uhuru bado hakuna haki, tabaka masikini linanyanyasika, hakuna usawa wa kimaamuzi na keki ya taifa inaliwa na wachache.
mabadiriko mengi ya kimfumo yanahitajika ili kila moja auone uhuru na kuuishi kabisa.
Rangi tu ndo iliibadilika,
Lkn Uhuru wa kweli mmmh...!!!
 
Back
Top Bottom