simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Cutting edge. Meanwhile we must enjoy EA pleasures kabalagala matoke groundnut soup mursik mutura nguruka makongoro togwa haluwa bokoboko unrestricted. EA oyeeBasically, there are many ways to skin a cat no? 🙂.
Kwani hamuwezi kuishi bila tz?kama ingekua ni njaa tunge waiver mahindi pekee, lakini hapa tumewaachia kila kitu ilhali nyinyi mwatulipisha kila bidhaa......... in other words, hio inathibitisha tanzania si tishio kwa kenya ikija mambo ya biashara, mnaeza nunua mashamba,anzisha biashara, uza bidhaa kana kwamba nyi wakenya, stakabadhi unayo hitaji ni paspoti yako tu
si tumeruhusu hadi wasomali, juzi nimeona traler ya movie eti wametengeneza pale eastleigh... Ukiangalia pia wakenya wasomi wamejimwaga kule somaliland na puntland wanajenga mabarabara na majumba, we dont discriminate where to find new frontiers and opportunitiesKwani hamuwezi kuishi bila tz?