uhuru wa kutoa maoni

morientes17

New Member
Joined
Aug 10, 2013
Posts
1
Reaction score
0
niwashukuru wana jaii kwa jitihada za kuelemishana na kubadilisha na mawazo katika kila mada hasa zinazohusu demokrasia ya nchi yetu. Niwasihi kuwa tutumie uhuru wa kutoa huu wa kutoa maoni vema ili tuendeleze amani iliyopo katika Taifa hili kwani amani haiwezi kuthaminishwa na chochote duniani hapa .
 
sasa unatufundisha au? sisi tunajua ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…