Uhuru wa kutumia intaneti ni wa kila mtu

Uhuru wa kutumia intaneti ni wa kila mtu

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210408_134108_0000.png


Moja kati ya misingi ya nafasi ya kiraia ni uwezo wa kila mtu kupata taarifa zilizo kwenye wavuti bila kizuizi chochote kitokanacho na matakwa ya mtoa huduma ya intaneti

Uhuru wa kupata huduma ya intaneti hurahisha mawasiliano baina ya watu lakini pia hutoa haki ya watu kupata taarifa muhimu kwa ajili ya ustawi wao.
 
Upvote 1
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom