Uhuru wa Tanganyika ,kwa waliokuwa wadogo hii ni nchi yenu

Uhuru wa Tanganyika ,kwa waliokuwa wadogo hii ni nchi yenu

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,750
Kwa wale waliokuwa wadogo wakati Tanganyika inapata Uhuru wake ,msidhani hii nchi haikuwa na watu walioithamini,watu wamepigania bila ya kumwaga damu,watu wamesheherekea na walifurahi ,iweje leo wengine mfike kusema hamuielewi,hamuijui ,Je nyinyi asili yenu ni wapi ? Na hata serikali yake hamutaki kuisikia na wengine wamekwenda mbali wanaona tabu kuitwa WaTanganyika na hata nchi wanaona aibu kuiita Tanganyika wanaiita Tanzania Bara ,watu hawa wanafaa kulaniwa na kushitakiwa ,ni watu wanaowaoona wale waliokuwa katika hekaheka za kuutafuta na kuudai uhuru wa nchi hii hawana maana ,Tanganyika ni lazima irudi.

 
Last edited by a moderator:
images







9k=








images
 
Wanaojipendekeza kwa Zanzibar waende huko wakaishi nao ,Ila naiona Tanganyika kwenye Horizon ,ni mambo makubwa sana ni kwanini wanahofu ya hata kuitamka Tanganyika na sasa kila wanapotamka utawasikia Tanzania bara ,ni kama waliologwa ,hawajielewi hawajitambui wamepoteza hata muelekeo.
 
Asante Bw. Mwiba na Gavana. Hata mimi huwa najiuliza, kuna tatizo lipi tanganyika?. Kisha nikawaza na kutafakari kuhusu UHURU. Inaonekana Julius Nyerere hakuwa na uchungu wa tanganyika kwa kuwa hakupigania UHURU. Yeye aliletwa kwenye TAA halafu akawekwa mbele. Wale walio na uchungu ni wale waliokwenda mbio kuitaka Tanganyika yao. Na leo tuna ona dhahiri kabisa hata katika bunge la katiba. Mpaka leo, katika bunge linajadiliwa ni kanuni na watu wamekaa kuipiku zanzibar kwa kanuni zisizo msingi wakati wangeliliacha suala hili kwa kuafikiana kupiga kura za siri tukaendelea na gumzo. Kwani kubwa ni lipi?. Hiyo Zanzibar kutaka UHURU wake sio jambo geni. Watanganyika washukuru kuwa tunaachana bila umwagikjai damu. Tukumbuke "tusipoziba ufa tutajenga ukuta".
 
Back
Top Bottom