Uhuru wants China to fund half of SGR for free

Leo natoka moshi, naenda chuga, alafu break ya kwanza chuga, ni kwa pusher, kupata highgrade sensiminia.
[emoji855]
Sawa, lakini chunga bangi si supu.
 
Reactions: Oii
Hivi hii habari ni ya kweli? inawezekana kweli UK aliomba SGR ya bure? kwa kweli inasumbua sana kuamini hili jambo...
 
Hivi hii habari ni ya kweli? inawezekana kweli UK aliomba SGR ya bure? kwa kweli inasumbua sana kuamini hili jambo...
Baada ya kukopa kwa masharti ya kijinga sasa kanogewa kaona wacha ajitoe ufahamu kwa kuomba vya bure bure. Mimi nilitegemea ata amua kujipiga piga ajenge kwa fedha za ndani kumbe ndiyo ana zidi kurudi nyuma.
 
Baada ya kukopa kwa masharti ya kijinga sasa kanogewa kaona wacha ajitoe ufahamu kwa kuomba vya bure bure. Mimi nilitegemea ata amua kujipiga piga ajenge kwa fedha za ndani kumbe ndiyo ana zidi kurudi nyuma.

Ahaaa haaa haaa
You guys r so funny.
Atoe GRANT kwani ule NI MRADI WA KUPAMBANA NA UKIMWI, KIFUA KIKUU NA MARALIA?
MNAPENDA DEZO EE?

CC: Bantugbro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…