Baada ya kununua viwanda vyote vya maziwa, kenyatta ameanza ununuzi wa mabenki ya kenya.
Hayo mabenki yana share uko KQ kupitia debt shareholding baada ya mafuriko ya hasara KQ.
Haitakuwa jambo la kushangaza kupata Kenyatta ndiye mmiliki wa ndege zote za KQ.
Lakini jina JKIA ni Jomo kenyatta international airport. Sasa biashara inarudi kwa kenyatta!