Uhuru ze akiliz kubwaz wakutana na trump!

1academ

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
2,316
Reaction score
3,567
Ni shangwe vifijo, nderemo hapa nchini baada ya viongozi hawa wawili nguli kukutana huko italia kwenye mkutano wa g7. Aiseee wadau hapa nipo bar tunasheherekea this major event, ninapata bapa kubwa kwa leo.
Bila shaka uhuru atashusha nondo za ukweli huko ugaibuni, huku anatema yai la ukweli na kuwaacha waswahili walioalikwa huko(if any) wanakenua[emoji3] [emoji109] .. swali ni yule mwengine angealikwa huko mambo yangeendaje maana unge'nge ulishamkataaga hehee!
 
ahahahah le madongoz na mipasho yamefika kwenyewe
 
mwenzenu hapa ni rahaaa tu,yaaani nikiwaza vile mzee wa kazi trump atakavo tuzidishia neema dahh...uspime babaa shutu[emoji3] [emoji3] [emoji109]
 
mwenzenu hapa ni rahaaa tu,yaaani nikiwaza vile mzee wa kazi trump atakavo tuzidishia neema dahh...uspime babaa shutu[emoji3] [emoji3] [emoji109] View attachment 514989
Kuna ile fedha ya health issues, ukimwi, amewapoka Hela Obama alikuwa anawapatia, akawapatia tz.
 
Besides Kenya, other African countries invited to represent the interests of the continent at the summit are Ethiopia, Tunisia and Nigeria.
 
Ethiopia and Nigeria ndio wanachangia wakimbizi wakibwa Kabisa Wa kuenda Europa kupitia Med Sea

Tunisia Ni juu Ya Libya na Attacks Resulting from Libya

Kenya ni juu ya Somalia Attacks na USA na Britain pia zina special forces Somalia na Libya


But one thing Ethiopia was invited to China Road and Belt together with Kenya

Unamwona Kenyatta Erdogan Putin Na PM wa ETHIOPIA NA XI kule Uchina Last week?

Alafu Wiki hii italy
PM wa ET yule nyuma ya trump anacheka...inaonekana Chakula ilikuwa Tamu pia italy ni Colonizee wa ET ....


Uhuru alilaunch Hoteli Nairobi Kabla ya Kuenda Italia

 
Uhuru akili kubwa kivipi wakati ni school dropout?
 
does a drop out have two university degrees? if so, id really like to be one. he has one in political cience and another one in economics.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…