hamna kitu hapa scandal ya mashamba ya Taita-Taveta county imeharibu kila kitu Uhururo hawana chao Mombasa
Duh sukutarajia Uhuruto wangepata umati mkubwa hivi Ab-Titchaz naomba maoni yako.
hamna kitu hapa scandal ya mashamba ya Taita-Taveta county imeharibu kila kitu Uhururo hawana chao Mombasa
Nilikuwa naangalia habari mbalimbali za kenya(online), eti zinasema kuwa Uhuru ame-gain polls na Raila ame-loss polls kwenye 2nd debate, wakati ile issue ya land imem-crash kabisa Uhuru. Wakenya ukabila utawaua.hao jamaa wakipata uraisi watanunua nusu ya kenya iliyobaki kwani kwamujibu wa doctrine ya willful buyer and willful sealer wataendeleza uchu huo kwani bagaining power itaongezeka na hakuna mtu atakayekubali kubagain na raisi na wakenya wote watakuwa squatters
Nilikuwa naangalia habari mbalimbali za kenya(online), eti zinasema kuwa Uhuru ame-gain polls na Raila ame-loss polls kwenye 2nd debate, wakati ile issue ya land imem-crash kabisa Uhuru. Wakenya ukabila utawaua.
Duh sukutarajia Uhuruto wangepata umati mkubwa hivi Ab-Titchaz naomba maoni yako.