UHURUTO 2013 Campaign Images.

Aisee, niliwahi kufika pande hizo za Murang'a siku mingi sana nikiwa school boy. Naona raia wamewapokea kwa bashasha UhuRuto.
 
Aisee, niliwahi kufika pande hizo za Murang'a siku mingi sana nikiwa school boy. Naona raia wamewapokea kwa bashasha UhuRuto.


Mkuu UhuRuto ndo wanamalizia mambo. Tusubiri March 4 tuone itakuwaje, but for sure, UHURUTO 2013.
 
Today we took our development agenda to Nyeri Town. Thank you people of Nyeri County for the support you showed us today. Let us make the next Government a Jubilee Government. God Bless You All.























 
mambo yote jumatatu jioni....raila atakapo tangazqa kuwa raisi wa kenya
 
Mkuu UhuRuto ndo wanamalizia mambo. Tusubiri March 4 tuone itakuwaje, but for sure, UHURUTO 2013.

Ni kweli mkuu lakini nadhani hawataweza kupata ushindi kwa 50%+1 kitu ambacho ni hatari kwao. Wakiingia kwenye run off CORD itawatupilia mbali.
 
Do u think Uhuru will prevail on 4th March?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Matokeo yanatangazwa jumatatu hiyo hiyo siku ya kupiga kura?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
katika kampeini uhuru alisema atawarai watu wake kifikia uchaguzi
 
Nilikuwa naangalia habari mbalimbali za kenya(online), eti zinasema kuwa Uhuru ame-gain polls na Raila ame-loss polls kwenye 2nd debate, wakati ile issue ya land imem-crash kabisa Uhuru. Wakenya ukabila utawaua.

Hata mimi nimefatilia na ninaona http://www.twitter.com/UKenyatta Uhuru anazidi kupata umaharufu.
 
Today we held an immensely successful Rally in Kapakatet. Thank you so much people of Kapkatet for your resolve and commitment to not only ensure a Jubilee Government but also that you will do it in the first round. God Bless You All.























 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…