UHURUTO 2013 EMBLEM (Union of 4 Parties - URP;TNA;NARC;RC)

Angalia WALIVYO KIMAJIMBO HIYO TRENI inasema NAIROBI; KISUMU; MOMBASA... Sasa Wa Kaskazini JASHO TUPU NDIVYO KENYA ILIVYO ukipata KURA Maeneo TRENI inapopita UNAKUWA RAIS ndio MAKABILA MAKUBWA yalipojipanga
 
So far Uhuru anaongoza kwa kuadress issue ya ukabila vizuri ila kwa point chache...wote wamejiandaa vizuri sana...
 
Hilo treni ilikuwa miongoni mwa ahadi za Dr. Slaa 2010 kwamba kama angechaguliwa watu wangekuwa wanalala Mwanza na Kigoma na kufanya kazi Dar. Ha ha ha ha!
 
Uchaguzi wa Kenya unazidi kuwa mtamu....Ngoja leo niangalie News at 9 Citizen Tv..
 
So far Uhuru anaongoza kwa kuadress issue ya ukabila vizuri ila kwa point chache...wote wamejiandaa vizuri sana...

I beg to differ, Martha Karua na Odinga nao wame- address issues hata hivyo debate ni nzuri sana.
 
Hilo treni ilikuwa miongoni mwa ahadi za Dr. Slaa 2010 kwamba kama angechaguliwa watu wangekuwa wanalala Mwanza na Kigoma na kufanya kazi Dar. Ha ha ha ha!

cement sh elfu 5...
 
...kwa attitudes hizi za viongozi wa Kenya, Kuna haja ya kuimarisha JWTZ!...
 
Hawa wote ni wakabila ila nimependa malumbano yao yanaonyesha wamekomama kisiasa. wamejipanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…