So far Uhuru anaongoza kwa kuadress issue ya ukabila vizuri ila kwa point chache...wote wamejiandaa vizuri sana...
Hilo treni ilikuwa miongoni mwa ahadi za Dr. Slaa 2010 kwamba kama angechaguliwa watu wangekuwa wanalala Mwanza na Kigoma na kufanya kazi Dar. Ha ha ha ha!