Uhusiano huu siuelewi naomba msaada tafadhali

Huyu Saharavoice anapenda kujipendelea mwenyewe ngoja nimzunguke PJ najua hawezi nitosa

Niko nyuma yako oopsss sorry i meant niko pembeni yako lol
duh,hii timu itakuwa ya rchuga!!aaisee unawezakuta mnacheza bakurutu pamoja halafu hamjuani,lol jf
 
Kamata Kijenge gesht haush tupa kule............ kamata biya Picnic weka hapa...........!

ahahahaaaaaaaaa!..na hii ndio iliyonifurahisha sana kwenye hii chat room mlioianzisha....
 
Nahisi umekuja kuomba ushauri huku ukiwa na majibu, hii ni wazi kabisa jamaa wala hayuko into you, hana mapenzi kwako kabisa, angekuwa anakupenda asingethubutu kukwambia yule msichana yuko kwa ajili ya mchakato wa kuzaa, anza bibie hakufai hata kidoogo, nakuonea huruma umemuacha akupendae ukaenda kwa li jerk la aina hii
 
Pole sana dada! Nakushauri kwanza jitambue kuwa wewe ni mtu wa thamani kubwa ndani ya jamii, ukishafanya hivyo kamwe hutaruhusu wanaume wakuchezee watakavyo! BE YOU & STAND BY YOUR OWN FOOT!
Usipumbazwe na vitu vidogo akupavyo ili kudhalilisha utu wako, Achana naye TULIA acha kutangatanga na wanaume, PATA MUDA wa kutosha kutafakari maishayako ni wapi umetoka na hao wanaume na wamekusaidia nini? Usifuate mkumbo kwa kuona wenzio wanafunga ndoa! OMBA MUNGU ktk kutafuta mume mwema, ila kama unataka mahawala endelea na utaishia pabaya.
 
Kama hiki kisa ni kweli.... Safi sana mkome na hizo tabia zenu za kishamba. Yaani una bf wako lakini bado kwa ulafi wako unaentertain vimeseji vya kishamba toka kwa mwanaume mwingine...! Sasa ulikuwa unapata faida gani? Kwa nini watu wengine mnakuwa hovyo hivi kwa mtumizi ya simu? Na si ajabu hela ya airtime ulikuwa unapata kwa bf wako agggggrrrrrrrr. Wewe na huyo muhuni wako wa sasa mnafanana kwa tabia zenu za ki-fisimaji. Malipo ni hapahapa duniani ulichokuwa unamfanyia bf wako, tulia unyolewe sasa wala usilalamike.
 
mshahara umepata, usingemwacha bf wako, umeongozwa na feelings za uongo, pole sana hapo hakuna penzi anza tu upya ndugu
 
uko cheap mno na umejiconfine katika uzio fulani ambao unatakiwa utoke, U have to change ur life style haraka unless utaharibu maisha yako. Simamia yaliyo mema utafaulu bad deal is bad bad bad is evil act not blessing who advice you to do is bad run
 
we mdada akili yako fupi kama pimbi, kama unashindwa kuchukua uamuzi hadi katika mazingira kama hayo, basi akili yako si ya mwanamke wa kuolewa na kutunza familia, mwanamke mwenye maamuzi yenye faida.....kwa upendo kabisa, nakushauri usiingie kwenye mbwa mwitu anayejifanya kwako kondoo, utakonda kwa mawazo na utakuwa mwiba kwako maisha yako yote ya ndoa hadi utakufa mapema....na hata ukijaolewa naye na kuachika, huko kuachika litakuwa kovu na alama ya wanaume kukuogopa na utakuwa umepungua sana hadhi yako dadangu....mimi huwa napenda wanawake wenye msimamo na busara za kufanya maamuzi ya kuendelea na kitu au la, kama hana kitu hicho huyo atakuwa mzigo kwani nyumbani kwangu nitakuwa tegemezi wa akili na kila kitu..sitafaidi kitu toka kwake....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…