Uhusiano kati uraisi wa nchi na Ushushushu..!

Uhusiano kati uraisi wa nchi na Ushushushu..!

Loyal_Merchant

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
623
Reaction score
267
Nina swali moja la kiintelijensia, hivi ni rahisi kwa mgombea uraisi kuukwaa uraisi wa nchi fulani pasipo yeye kuwahi kutumikia idara yoyote ya kijasusi/ulinzi ya nchi husika.? Kwa mfano, TISS, MI kwa TPDF n.k..?
 
Nina swali moja la kiintelijensia, hivi ni rahisi kwa mgombea uraisi kuukwaa uraisi wa nchi fulani pasipo yeye kuwahi kutumikia idara yoyote ya kijasusi/ulinzi ya nchi husika.? Kwa mfano, TISS, MI kwa TPDF n.k..?
soma katiba ya jamuhuri ya muungano wa tanzania ayo mengine waachie wenyewe wahusika ww ukitaka kujua sifa ya kuwa raisi basi nakuomba pitia hii katiba ya 1977 au ungetoa maoni katka uundaji wa katiba mpya
 
Nina swali moja la kiintelijensia, hivi ni rahisi kwa mgombea uraisi kuukwaa uraisi wa nchi fulani pasipo yeye kuwahi kutumikia idara yoyote ya kijasusi/ulinzi ya nchi husika.? Kwa mfano, TISS, MI kwa TPDF n.k..?
Inategemea na nchi husika,
kwa Tanzania inawezekana, kwa nchi kama Israel haiwezekani.
 
soma katiba ya jamuhuri ya muungano wa tanzania ayo mengine waachie wenyewe wahusika ww ukitaka kujua sifa ya kuwa raisi basi nakuomba pitia hii katiba ya 1977 au ungetoa maoni katka uundaji wa katiba mpya

Kaka mimi sihitaji kuwa raisi na sina ndoto ya kuwa mwanasiasa. Ila huwa napenda kufuatilia jinsi mambo yanavyokwenda. Kwani naamini suala nililouliza si siri na ni zuri, na nimeliulizia mahala/jukwaa husika. So itakuwa vyema kama una idea na nilichokiuliza ukashare nasi ukiwa kama mdau wa intelijensia ( nimekuita mdau sababu inaonekana ni mtembezi/mpitaji wa jukwaa la intelijensia).
 
Nina swali moja la kiintelijensia, hivi ni rahisi kwa mgombea uraisi kuukwaa uraisi wa nchi fulani pasipo yeye kuwahi kutumikia idara yoyote ya kijasusi/ulinzi ya nchi husika.? Kwa mfano, TISS, MI kwa TPDF n.k..?

Wewe unaweza kujua zaidi kuliko sisi, ebu tudadavulie.
 
Kaka mimi sihitaji kuwa raisi na sina ndoto ya kuwa mwanasiasa. Ila huwa napenda kufuatilia jinsi mambo yanavyokwenda. Kwani naamini suala nililouliza si siri na ni zuri, na nimeliulizia mahala/jukwaa husika. So itakuwa vyema kama una idea na nilichokiuliza ukashare nasi ukiwa kama mdau wa intelijensia ( nimekuita mdau sababu inaonekana ni mtembezi/mpitaji wa jukwaa la intelijensia).

Ndugu, si umeshaambiwa sifa za mgombea urais si nyngine bali zile zilizoainishwa kwenye Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Nina swali moja la kiintelijensia, hivi ni rahisi kwa mgombea uraisi kuukwaa uraisi wa nchi fulani pasipo yeye kuwahi kutumikia idara yoyote ya kijasusi/ulinzi ya nchi husika.? Kwa mfano, TISS, MI kwa TPDF n.k..?

vaa viatu vy mchangiaji na si mtoa mada!!!!!!

Unaona kuna umuhimu wa kuwa na Rais spy!!!???
 
vaa viatu vy mchangiaji na si mtoa mada!!!!!!

Unaona kuna umuhimu wa kuwa na Rais spy!!!???
There you are brother, mimi binafsi nilikuwa sikiamini wanachokisema wadau ya kuwa si lazima raisi wa Tanzania kuwa spy. Nikawa najiuliza sana, if that is the case, how come raisi kwa namna moja ama nyingine anaweza kuziongoza taasisi hizi(as kwa mujibu wa katiba iliyopo sasa, taasisi hizi za kipelelezi hazijitegemei kimaamuzi 100%).

Kama ndivyo wasemavyo wadau hapo juu ( kuwa waweza kuwa raisi pasipo kupitia mafunzo ya uspy), jee hii imekaaje kimtazamo kiuchumi, kiusalama na maendeleo ya nchi kwa ujumla wake.? Je ni nini faida na hasara za hili jambo.?
 
There you are brother, mimi binafsi nilikuwa sikiamini wanachokisema wadau ya kuwa si lazima raisi wa Tanzania kuwa spy. Nikawa najiuliza sana, if that is the case, how come raisi kwa namna moja ama nyingine anaweza kuziongoza taasisi hizi(as kwa mujibu wa katiba iliyopo sasa, taasisi hizi za kipelelezi hazijitegemei kimaamuzi 100%).

Kama ndivyo wasemavyo wadau hapo juu ( kuwa waweza kuwa raisi pasipo kupitia mafunzo ya uspy), jee hii imekaaje kimtazamo kiuchumi, kiusalama na maendeleo ya nchi kwa ujumla wake.? Je ni nini faida na hasara za hili jambo.?

Ha ha haaaaa angalia majukumu ya chief spy katika nchi halafu kama.unaona.nusu ya uwezo huo anaweza kuwa nao Rais (kiujuzi) labda hoja yako itakuwa na nguvu lakini mwisho wa siku sio personal but rather institutional/ system that works better
 
There you are brother, mimi binafsi nilikuwa sikiamini wanachokisema wadau ya kuwa si lazima raisi wa Tanzania kuwa spy. Nikawa najiuliza sana, if that is the case, how come raisi kwa namna moja ama nyingine anaweza kuziongoza taasisi hizi(as kwa mujibu wa katiba iliyopo sasa, taasisi hizi za kipelelezi hazijitegemei kimaamuzi 100%).

Kama ndivyo wasemavyo wadau hapo juu ( kuwa waweza kuwa raisi pasipo kupitia mafunzo ya uspy), jee hii imekaaje kimtazamo kiuchumi, kiusalama na maendeleo ya nchi kwa ujumla wake.? Je ni nini faida na hasara za hili jambo.?

The president is not a president as you may think, there is much behind the scene in all matters indeed. Don't forget the president comes in power through vetting done by usalama (what do they look at?????). Inshort Usalama is much more powerfull than a president as a person, but usalama is part of Presidency as an institution.
 
Mimi naona si lazima ila maraisi waliopita wengi ni wale ambao waliingia jkt kwa lazima kama utaratibu wa nchi kwa siku hizo kwamba ili kuleta taifa la wachapakaz na lenye umoja wakaona bora raia wapitie jkt kwa lazima kabla hawajaitumikia jamii ya watanzania. Ila sifa za mtu kuwa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania zipo palepale kwa muujibu wa katiba ya sasa ya mwaka 1977.
 
Sikiza nikwambie,,, tunachokiandika ukiwa makini sana unaweza ukaotea mchangiaji anafanya kazi gani, ko we subilia majibu ,,,yanayokuvutia like au jibu,,yanayoweka kauzibe ktk swali lako puuzia kimyakimya(rip man ngwea)
 
Back
Top Bottom