J Jumanne Sinto Member Joined Nov 7, 2019 Posts 21 Reaction score 9 Feb 6, 2024 #1 Naombeni kuuliza, kuwa kuna mahusiano gani Kati ya maumivu ya kiuno na kufanya tendo la ndoa? Kwakuwa kuna mahali nlisikia mtu Kasema kiuno kinaniuma mwingine akamuambia ni ham ya tendo la ndoa kwa mwanaume lakini.
Naombeni kuuliza, kuwa kuna mahusiano gani Kati ya maumivu ya kiuno na kufanya tendo la ndoa? Kwakuwa kuna mahali nlisikia mtu Kasema kiuno kinaniuma mwingine akamuambia ni ham ya tendo la ndoa kwa mwanaume lakini.
Morning_star JF-Expert Member Joined Apr 21, 2018 Posts 6,042 Reaction score 17,320 Feb 6, 2024 #2 Ngono! Wanao wanaviatu vya shule au wanavaa makubasi?