Uhusiano Kati ya kiuno na tendo la ndoa

Jumanne Sinto

Member
Joined
Nov 7, 2019
Posts
21
Reaction score
9
Naombeni kuuliza, kuwa kuna mahusiano gani Kati ya maumivu ya kiuno na kufanya tendo la ndoa?

Kwakuwa kuna mahali nlisikia mtu Kasema kiuno kinaniuma mwingine akamuambia ni ham ya tendo la ndoa kwa mwanaume lakini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…