Mteule halisi
Senior Member
- Oct 21, 2014
- 197
- 97
Habari za wikiendi mabibi na mabwana!
Nimekuja na swali nnaimani kuna madokta humu watanipa ufafanuzi. Kipindi kama cha miezi mitatu nimekua nikisikia maumivu makali kwenye magoti pindi ninapopanda ngazi au nikiwa nataka kukanyaga sehemu yoyote yenye muinuko lakini sehemu tambalale sisikii maumivu. Sasa hali imekua tofauti kwa sasa baada ya kua mbali na mchumba wangu takribani kama mwezi umepita naona yale maumivu hayapo tena kiasi cha kujiuliza au kushiriki tendo mala kwa mala ni chanzo cha matatizo ya magoti? Na kama sio chanzo nini husababisha hali hiyo? Naomba msaada wa kitabibu waungwana.
Nimekuja na swali nnaimani kuna madokta humu watanipa ufafanuzi. Kipindi kama cha miezi mitatu nimekua nikisikia maumivu makali kwenye magoti pindi ninapopanda ngazi au nikiwa nataka kukanyaga sehemu yoyote yenye muinuko lakini sehemu tambalale sisikii maumivu. Sasa hali imekua tofauti kwa sasa baada ya kua mbali na mchumba wangu takribani kama mwezi umepita naona yale maumivu hayapo tena kiasi cha kujiuliza au kushiriki tendo mala kwa mala ni chanzo cha matatizo ya magoti? Na kama sio chanzo nini husababisha hali hiyo? Naomba msaada wa kitabibu waungwana.