Uhusiano kati ya midori na vioja ndani ya nyumba

Kuweni makini na midoli nyumbani! Acha kabisa kumpa mtoto wako uchafu huu! Choma moto midoli yote nyumbani haraka! Choma moto picha za wasanii na wananichezo kwenye kuta za nyumba yako!
 
Nasema haiwezekani kifaa kitengenezwe kwa mbao au plastic useme eti ina shida?

Majini, Shetani na Binadamu ni Roho/Nafsi wakati hiyo midoli ni vifaa vinatengenezwa kwa material ya kawaida tu

Tulichokatazwa kwa Waislam na Wakristo ni KUABUDU au KUSUJUDIA HIZO SANAMU NA MIDOLI BADALA YA MUNGU PEKEE

Hivi vingine mnavyotuletea ni Uongo na Uzushi.
 
Hayaja kukuta wewe bado mdogo kwa mambo ya elimu ya giza. Laiti yangelikukuta siku moja ungepata kuamini Tafuta Mdoli wowote uliopo nyumbani kwako kisha ushike na kusema maneno haya kila siku sema maneno haya ''wewe blodmeli nibadilishie kinyago hiki'' kwa siku 41 halafu njoo hapa ulete mrejsho wako usije kuikimbia nyumba unayoishi.
 
Wasio amini katika ulimwengu wa roho wanapata shida sana kukuelewa.
 
Unanikumbusha zile movies za anabelle....Kuna anabelle comes home, anabelle, anabelle creation, hizi three anabelle unakutana na madude ya ajabu, midoli na visanamu vina roho chafu na za kutisha zinasumbua nyumba unaishi Kwa hofu kwelikweli, ka mdoli kapo ukutani unatoka unarudi ndani mdoli anatabasamu, mara hayupo unasikia kelele chooni au kanacheka huko downstairs, mara mdoli amekunja miguu yaani ni tabu tupu nilifanya utafiti binafsi baada ya kuona hizo movies na zile za conjuring movies haya mambo yapo na Wala siyo kama mtu kachanganyikiwa, nilidhani ni movies ila kumbe yapo haya ukifuatilia au kufanya ka utafiti kadogo tu.
 
@eng.zezudu @vocalfremitus MIN-me mpandaone fuatisheni formular ya @herbalistdrmzizimkavu "WEWE BLODMELI NIBADILISHIE KINYAGO HIKI" kwa siku 41 huenda kuunywea mkate uzi huu,ubishi,kutoamini yasionekana kwa macho ya kawaida kutawatoka,nadhani mtakuwa mashahidi wazuri hapo mbeleni.
DUNIA INA MAMBO YA KUSTAJABISHA
 
Hahahaha...hivi vituko na ujinga sijui mtaacha lini

Mimi ndio napaswa kukuuliza umri wako kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…