Mkuu Kumwaga mapema unaweza kumpa mwanamke mimba iliKama mada inavyojieleza...hivi mtu mwenye premature ejaculation anaweza kumpa mwanamke ujauzito??....na je kama ni kweli huyo mtoto atakayezaliwa hatakuwa na mapungufu??... MziziMkavu na wataalamu wengine wa jukwaa nawasilisha kwenu
Ningelikukatalia ningeleta ugomvi baina ya wewe na mke wako kumbe? Ningeleta Fitina ndani ya ndoa? Ungelihisi mke wako amekusaliti nini? ahhhhh sawa asante kwa feedback basi hata kunipa like unashindwa? Sawa tu.Ahsante MziziMkavu.....Nilikuwa tu nataka uhakika maana mpenzi wangu amepata mimba.....Happiest than I ever been
hahaha...ushapata yangu, usijaliNingelikukatalia ningeleta ugomvi baina ya wewe na mke wako kumbe? Ningeleta Fitina ndani ya ndoa? Ungelihisi mke wako amekusaliti nini? ahhhhh sawa asante kwa feedback basi hata kunipa like unashindwa? Sawa tu.
Binadamu hana Shukrani bora mnyama atakukumbuka kuliko bindamu shukrani ya punda ni mateke.hahaha...ushapata yangu, usijali
labda anatumia simu ndio maana ameshindwa kukupa like...Binadamu hana Shukrani bora mnyama atakukumbuka kuliko bindamu shukrani ya punda ni mateke.
Ningelikukatalia ningeleta ugomvi baina ya wewe na mke wako kumbe? Ningeleta Fitina ndani ya ndoa? Ungelihisi mke wako amekusaliti nini? ahhhhh sawa asante kwa feedback basi hata kunipa like unashindwa? Sawa tu.
Ahsante MziziMkavu.....Nilikuwa tu nataka uhakika maana mpenzi wangu amepata mimba.....Happiest than I ever been
Kwahiyo mkuu wewe unatatizo la premature ejaculation...? Pole sana..