uhusiano kati ya mtu kula nyama na kutokwa damu puani

dxdiag

Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
11
Reaction score
56
habari wanaJF!

Kuna tatizo hili inawezekana linakutokea au limemtokea mtu wa karibu yako. Unakuta mtu akila tu nyama au baadhi ya samaki basi anatokwa na damu puani,je tatizo hili linasababishwa na nini hasa?

Ahsanten!
 
Mkuu.@dxdiag Nenda ..Hospitali kamuone Daktari ili akupime ili apate kujuwa una Maradhi gani? Isije kuwa una allergy ya vyakula vya aina fulani fulani.Ukila baadhi ya vyakula vinakudhuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…