Uhusiano kati ya rangi ya jezi na kufungwa

Uhusiano kati ya rangi ya jezi na kufungwa

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Hivi kuna nini huko Dar es Salaam, naskia watu wana sema ema eti wananchi wamefungwa kwa sababu ya jezi zao za kiini Cha Yai. Eti wangekuwa na nyeusi Ihefu wasinge chomoka.

Sasa mimi nataka kujua kutoka kwa wale wenye maono ya kiroho rangi nyeusi inasababishaje unbeaten.

Kwa wale wa mambo ya Giza hata Mshana anajua. Walozi wote Duniani hutumia paka mweusi kudhuru mwanadamu mwenzie. Ila rangi ya kiini cha Yai haipo kwenye kuleta madhara.

Rangi nyeusi ya mwananchi mmmmmm. Ufafanuzi jamani
 
Hivi kuna nini huko Dar es Salaam, naskia watu wana sema ema eti wananchi wamefungwa kwa sababu ya jezi zao za kiini Cha Yai. Eti wangekuwa na nyeusi Ihefu wasinge chomoka.

Sasa mimi nataka kujua kutoka kwa wale wenye maono ya kiroho rangi nyeusi inasababishaje unbeaten.

Kwa wale wa mambo ya Giza hata Mshana anajua. Walozi wote Duniani hutumia paka mweusi kudhuru mwanadamu mwenzie. Ila rangi ya kiini cha Yai haipo kwenye kuleta madhara.

Rangi nyeusi ya mwananchi mmmmmm. Ufafanuzi jamani
Walijaribu kuhonga wakakataliwa,na kwa vile walijua shughuli itakayowskabili,na kwa vile ni washirikina,wakaamua kuvaa jezi hiyo ili wazidi kuwaaminisha mashabiki wao wasio na akili kwamba ni jezi ndiyo imesababisha wafungwe.
 
Walijaribu kuhonga wakakataliwa,na kwa vile walijua shughuli itakayowskabili,na kwa vile ni washirikina,wakaamua kuvaa jezi hiyo ili wazidi kuwaaminisha mashabiki wao wasio na akili kwamba ni jezi ndiyo imesababisha wafungwe.
Wanasimba bwana 🤣🤣!
Basi leo kila mtu atajitia mjuvi.
 
Mpira wa bongo bhana 😁😁😁, inavyoonekana record ya yanga ulikuwa inawanyima usingizi sana simba kuliko timu nyingine zotee. But all in all hakuna timu itacheza bila kufungwa, labda akacheze ligi ya peke yake
 
Hata hirizi ni nyeusi..unganisha dot kwa hao walozi
 
Back
Top Bottom