Uhusiano kati ya stress na hedhi kwa wanawake

Uhusiano kati ya stress na hedhi kwa wanawake

Status
Not open for further replies.

Nyanda21

Senior Member
Joined
Jun 6, 2016
Posts
134
Reaction score
60
Habari za jumapili wanajamvi? Ningependa kuuliza juu ya uhusiano uliopo kati ya msongo wa mawazo na kupata siku za mwezi mwanamke mwenye kufahamu juu ya hili Tafadhali.
Nina dada yangu ambaye amepata matatizo kikazi kwaiyo karudi nyumbani. Ana mawazo sana... Na imetokea mwezi huu hajapata siku na hajafanya mapenz kwa miez minne iliyopita.
 
Habari za jumapili wanajamvi? Ningependa kuuliza juu ya uhusiano uliopo kati ya msongo wa mawazo na kupata siku za mwezi mwanamke mwenye kufahamu juu ya hili Tafadhali.
Kufafanua kitaalam sana sijui lkn mahusiano yapo ya moja kwa moja maana vyote vinahusisha mfumo wa fahamu.
 
Habari za jumapili wanajamvi? Ningependa kuuliza juu ya uhusiano uliopo kati ya msongo wa mawazo na kupata siku za mwezi mwanamke mwenye kufahamu juu ya hili Tafadhali.

Ngoja week 2 ziishe ukapime tu mimba, usitafute kujipa moyo kwamba stress zachelewesha MP...
 
Ngoja week 2 ziishe ukapime tu mimba, usitafute kujipa moyo kwamba stress zachelewesha MP...
Hii imempata dada yangu na hana mimba hajafanya mapenzi hivyo nahitaji kujua kitaalam imekaaje
 
Mimba hyo tayar,jiandae kulea..unajifanya et ni dada ako yamemtokea hayo,,,ww ulijuaje hajafanya mapenz
 
Kwa maarifa yangu ya bailogia ya form three nadhani tulisoma

Factors affecting mp ni

~stress (hapa tulielezewa kwamba mawazo yanaweza mfanya MTU awahi kuingia mp. Au kuvuruga kabisaa tarehe za kawaida.)

~axient

~diseases

~tablets

Watalam zaidi wanaweza kusaidia
 
Habari za jumapili wanajamvi? Ningependa kuuliza juu ya uhusiano uliopo kati ya msongo wa mawazo na kupata siku za mwezi mwanamke mwenye kufahamu juu ya hili Tafadhali.
Nina dada yangu ambaye amepata matatizo kikazi kwaiyo karudi nyumbani. Ana mawazo sana... Na imetokea mwezi huu hajapata siku na hajafanya mapenz kwa miez minne iliyopita.
Wewe na dada yako kama wachina vile, unajua hajafanya mapenzi kwa miezi minne na ukaenda mbali zaidi kuwa hajaona siku zake, duuuuuh!
 
Ni kweli stress huathiri mfumo wa mp. Hivyo kama dada yako amepata matatizo kazini, inawezekana kabisa msongo wa mawazo ukaharibu mfumo. Tena stress haiishii tu kuharibu mp, huwa inaharibu hata mimba.
 
Ngoja aje natafuta atakuelezea
teh mkuu kwa kuniita wewe
ni kwli stress zinasababisha mabadiliko
ukiwa na stress kunakuwa na hormone imbalance mwilini,unaweza ukapata kisukari ,pressure na hata upungufu wa nguvu za kike na kiume ..na hata mwanamke siku zake kupata majanga kama hivo .
sikumbuki biology vizuri ila nadhani kwa sababu ubongo unahusika na hormone na mtu unakuwa unawaza sana hormone zinakuwa hazipo sawa mwilini ndo maana ukiwa na stress lazima mwili upate majanga. hata unaweza kurest in peace
napenda kumpa pole mleta mada aache tu kuwaza katika hii dunia hakuna jambo lisilokuwa na mlango wa kutokea ni swala la muda tu.
ni kama vile usiku unavoingia giza linakuwepoa lakini hata giza liwe kubwa vipi na umeme ukatike vipi asubuhi patapambazuka tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom