Uhusiano kati ya stress na hedhi kwa wanawake

Status
Not open for further replies.
Huyo ni wewe tu ila unazuga ni dada ako,umejuaje kama hajapakuliwa miezi ninne?
 
ni kweli mkuu .ndo maana nakupenda watu wanatokwa povu utadhani walikuwepo akipigwa miti
Ni kawaida ya JamiiForum watu kutoa opinions badala ya facts mkuu hasa mambo yanayohusu kugegedana.

Huyo bidada yawezekana chanzo cha tatizo lake ni kidogo tu, yawezekana akipata kazi mpya moyo ukatulia atarudi kwenye mstari.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…