Uhusiano kati ya upasuaji na tumbo kuwa kubwa

Lyandembela1

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2013
Posts
277
Reaction score
113
Heshima mbele wakuu,
Shemeji yenu alijifungua kwa njia ya upasuaji mwaka na nusu umepita sasa, lakini kila uchao tumbo halipungui utadhani ana nyingine. Na nikumwambia atafute namna ya kupunguza kanambia kuwa mwanamke akijifungua kwa njia ya upasuaji tumbo haliwezi kuwa dogo kamwe.

Je kuna ukweli wowote juu ya hilo.
Watu8 Mamndenyi
 
Sasa afanye nini ili kupunguza tumbo maake amejilidhikiaje na mimi silipendi.
Kama n mnene, sahau kupungua, ila mwembamba linapungua. Mazoezi ya tumbo ngumu, maana tayari ana mshono. Apunguze vyakula vya mafuta, wanga, maji ya moto anywe sana, na ndimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…