Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19 (SARS Cov 2) na vile vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi (HIV) vinafanana katika mifumo vinayoiathiri na pia tabia zake.
1. Virusi vya HIV vina Ribonucleic acid(RNA) halikadhalika virusi vya Corona vina RNA.
2. Vinaathiri mfumo wa kinga kwa kuathiri seli hai nyeupe (T-cells /lymphocytes) ambazo hutumika kama walinzi wa mwili wa mwanadamu.
Kwa majibu wa maelezo ya Dr Rogers Scheult ambaye ni mwanzilishi mshiriki wa MedCram.com virusi hivi yaani vinavyoeneza ugonjwa wa COVID-19 na vile vinavyoeneza ugonjwa wa Ukimwi vina uwezo wa kudhoofisha mfumo wa kinga wa mwanadamu (can affect immune system).
Tafiti hii inaonesha mawanda mapana zaidi yanayoathiriwa na virusi vinavyoeneza ugonjwa wa COVID-19.Hii inatufanya kumaizi kuwa virusi hivi havivamii na kuathiri mfumo wa upumuaji tu ila pia vinaathiri T-cells, CD4 na pia CDA.
Tafiti zinaonesha kuwa virusi vinavyoeneza ugonjwa wa COVID-19 vinapovamia T-cells ndipo vinapojizalisha(replicate) maradufu.
Kulingana na maelezo ya Sadhguru(MOI) Virusi vinavyoeneza ugonjwa wa COVID-19 vinavamia T-cells kama vile vya Ukimwi (HIV) ila siyo katika muundo unaofanana, virusi hivi vinavamia mawanda mengine muhimu ya mfumo wa kinga ya mwanadamu.
Msisitizo anaoutoa Sadhguru ni wanadamu kuendelea kuimarisha mifumo yao ya kinga pamoja na kuzingatia maelekezo yote yanayotolewa na wataalamu.
Sadhguru yaliendelea zaidi kusema kuwa wapo watu wanaojiamulia kutojali pamoja na maelekezo yanayotolewa ila aliunga jambo moja kuwaasa ambalo ni hili:
"USISEME MIMI SIJALI AU SIOGOPI KUFA NA KUKIUKA TARATIBU ZA KUJIKINGA KWANI UTAKUWA NI TATIZO UKIWA HAI NA HATA UKIFA NI TATIZO KWANI HATA MIILI YA WAATHIRIKA BADO INAWEZA IKAENDELEA KUENEZA UGONJWA HUU".
Msisitizo hapo niliouona ni kuwa kutojali kwa mtu mmoja kinaweza kuwa hasara kwa wengi hivyo tusipuuzie.
Huwa napenda sana kufuatilia hatuna za huyu Mystic figure of India (MoI) aitwaye Sadhguru na miongoni mwa mambo mengine aliyoyasema yananifanya niendelee kusoma zaidi ili kuelewa ni kuwa wanawake wapo sehemu nzuri zaidi kutokana na mfumo wao mzuri wa kinga ya mwili (well regulated immune system) na hivyo virusi hivi vinavyoeneza ugonjwa wa COVID-19 vinaonekana kuathiri na kuathiri zaidi wanaume (not accurate but it is largely men who are dying).
Aliendelea kusema kuwa kuna watu wengi ambao wanaweza kuambukizwa ugonjwa wa COVID-19 na kutoonesha dalili yoyote ile ndani ya wiki tatu, watu hawa wakiachiwa kuendelea kutembea sehemu tofauti wanaweza kueneza kwa wengine wengi zaidi wakidhani wapo salama na kwa maana hiyo ni muhimu kukaa nyumbani na kuzingatia maelekezo ya kujikinga.
1. Virusi vya HIV vina Ribonucleic acid(RNA) halikadhalika virusi vya Corona vina RNA.
2. Vinaathiri mfumo wa kinga kwa kuathiri seli hai nyeupe (T-cells /lymphocytes) ambazo hutumika kama walinzi wa mwili wa mwanadamu.
Kwa majibu wa maelezo ya Dr Rogers Scheult ambaye ni mwanzilishi mshiriki wa MedCram.com virusi hivi yaani vinavyoeneza ugonjwa wa COVID-19 na vile vinavyoeneza ugonjwa wa Ukimwi vina uwezo wa kudhoofisha mfumo wa kinga wa mwanadamu (can affect immune system).
Tafiti hii inaonesha mawanda mapana zaidi yanayoathiriwa na virusi vinavyoeneza ugonjwa wa COVID-19.Hii inatufanya kumaizi kuwa virusi hivi havivamii na kuathiri mfumo wa upumuaji tu ila pia vinaathiri T-cells, CD4 na pia CDA.
Tafiti zinaonesha kuwa virusi vinavyoeneza ugonjwa wa COVID-19 vinapovamia T-cells ndipo vinapojizalisha(replicate) maradufu.
Kulingana na maelezo ya Sadhguru(MOI) Virusi vinavyoeneza ugonjwa wa COVID-19 vinavamia T-cells kama vile vya Ukimwi (HIV) ila siyo katika muundo unaofanana, virusi hivi vinavamia mawanda mengine muhimu ya mfumo wa kinga ya mwanadamu.
Msisitizo anaoutoa Sadhguru ni wanadamu kuendelea kuimarisha mifumo yao ya kinga pamoja na kuzingatia maelekezo yote yanayotolewa na wataalamu.
Sadhguru yaliendelea zaidi kusema kuwa wapo watu wanaojiamulia kutojali pamoja na maelekezo yanayotolewa ila aliunga jambo moja kuwaasa ambalo ni hili:
"USISEME MIMI SIJALI AU SIOGOPI KUFA NA KUKIUKA TARATIBU ZA KUJIKINGA KWANI UTAKUWA NI TATIZO UKIWA HAI NA HATA UKIFA NI TATIZO KWANI HATA MIILI YA WAATHIRIKA BADO INAWEZA IKAENDELEA KUENEZA UGONJWA HUU".
Msisitizo hapo niliouona ni kuwa kutojali kwa mtu mmoja kinaweza kuwa hasara kwa wengi hivyo tusipuuzie.
Huwa napenda sana kufuatilia hatuna za huyu Mystic figure of India (MoI) aitwaye Sadhguru na miongoni mwa mambo mengine aliyoyasema yananifanya niendelee kusoma zaidi ili kuelewa ni kuwa wanawake wapo sehemu nzuri zaidi kutokana na mfumo wao mzuri wa kinga ya mwili (well regulated immune system) na hivyo virusi hivi vinavyoeneza ugonjwa wa COVID-19 vinaonekana kuathiri na kuathiri zaidi wanaume (not accurate but it is largely men who are dying).
Aliendelea kusema kuwa kuna watu wengi ambao wanaweza kuambukizwa ugonjwa wa COVID-19 na kutoonesha dalili yoyote ile ndani ya wiki tatu, watu hawa wakiachiwa kuendelea kutembea sehemu tofauti wanaweza kueneza kwa wengine wengi zaidi wakidhani wapo salama na kwa maana hiyo ni muhimu kukaa nyumbani na kuzingatia maelekezo ya kujikinga.