Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,303
Kwa Mgonjwa wa kifua haswa watoto wadogo haifai kuwapa vinywaji vya baridi inachangia huo ubaridi asiweze kupona haraka hicho kifua chake. Nakuashauri kama una mtoto ana ugonjwa wa kifua usipe vinywaji baridi mpaka akimaliza kupona huo ndio ushauri wangu sijuwi kwa wenzangu wanaojuwa zaidi watupe maelezo yao zaidi.