K kigogo056 Member Joined Oct 8, 2023 Posts 5 Reaction score 1 Oct 9, 2023 #1 Habari wana Jamii, Naomba kufahamu historia ya Rais wa zamani wa libya canal Gaddafi na uhusiano wake na aliyekuwa Rais wa zamani wa Algeria Ndugu Gamal Abd Nassar.
Habari wana Jamii, Naomba kufahamu historia ya Rais wa zamani wa libya canal Gaddafi na uhusiano wake na aliyekuwa Rais wa zamani wa Algeria Ndugu Gamal Abd Nassar.
Dengue JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 2,047 Reaction score 1,465 Oct 9, 2023 #2 Masahihisho. Gamal Abdi Nasser alikuwa rais wa pili wa Misri na sio Algeria.
Jephta2003 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2008 Posts 6,590 Reaction score 6,355 Oct 11, 2023 #3 Nasubilia wanaojua hili waje watujuze
S Sanze M JF-Expert Member Joined Jul 20, 2021 Posts 4,141 Reaction score 8,602 Oct 11, 2023 #4 Yaleyale ya Sadam Hussein kuwa Rais wa Libya!
B bitimkongwe JF-Expert Member Joined Oct 21, 2009 Posts 7,794 Reaction score 7,551 Oct 11, 2023 #5 kigogo056 said: Habari wana Jamii, Naomba kufahamu historia ya Rais wa zamani wa libya canal Gaddafi na uhusiano wake na aliyekuwa Rais wa zamani wa Algeria Ndugu Gamal Abd Nassar. Click to expand... Gamal Abdel Nassir alikuwa rais wa Egypt na siyo Algeria, na wala hakuwa na uhusiano na Gaddafi kwa vile Gaddafi aliingia madarakani 1969 na yeye Gamal alifariki 1970.
kigogo056 said: Habari wana Jamii, Naomba kufahamu historia ya Rais wa zamani wa libya canal Gaddafi na uhusiano wake na aliyekuwa Rais wa zamani wa Algeria Ndugu Gamal Abd Nassar. Click to expand... Gamal Abdel Nassir alikuwa rais wa Egypt na siyo Algeria, na wala hakuwa na uhusiano na Gaddafi kwa vile Gaddafi aliingia madarakani 1969 na yeye Gamal alifariki 1970.