uhusiano wa Jeshi na Serikali unatakiwa uweje?

uhusiano wa Jeshi na Serikali unatakiwa uweje?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Haimaanishi mtu akitaja jeshi basi ndio iwe taharuki. Hakuna mwenye nia ovu katika kulitaja jeshi hapa. Kwa utangulizi huu napenda kuanza kama ifuatavyo;
Katika nchi za wenzetu tunaona majeshi yakichukua nafasi zao kama taasisi zinazojitegemea. Nafasi zao katika kuhakikisha kuwa nchi husika hazipatwi na matatizo ya ajabu ajabu mfano mifarakano na uchochezi isiyo na tija kwa taifa. Katika nchi yetu ubusiano huu ukoje? Ulipaswa kuwaje? Pale ambapo jeshi huamua kuiwajibisha serikali.iliyomo madarakani ni mazingira yapi hupelekea hii hali? Misri ni mfano mzuri. Jeshi linaona inafaa kutwaa madaraka kwa manufaa ya nchi. Napenda kujua uhusiano wa jeshi na serikali huwa vipi hadi jashi kutwaa madaraka.ya nchi?
 
Kwanza tujue Katiba ya Misri na mgawanyo wa madaraka yao na tulinganishe na yetu.
After all do we have anything like SCAF? Any Junta?
 
Hii ni kwa mujibu wa katiba ya Misri.
Article 149
The President appoints the military officials and removes them. He appoints the political representatives of the State and ratifies the political representatives of the foreign states and bodies, in accordance with the law.

Article 152
The President is the Supreme Commander of the Armed Forces and he declares war after taking the opinion of the National Defense Council and the approval of the House of Representatives.


The President is prohibited from sending armed forces out of the country except after the approval of the majority of members of the House of Representatives.-


Article 198
The Minister of Defense is the General Chief of Armed Forces and shall be appointed from among its officers.

Yawezekana kwa ibara ya 198, jeshi ndipo hupata nguvu ya kufanya maamuzi ya kutwaa Dola.
 
Back
Top Bottom