Uhusiano wa kiasi cha mafuta na matumizi yake

Uhusiano wa kiasi cha mafuta na matumizi yake

Dunamist

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2018
Posts
474
Reaction score
686
Wakuu heshima nyingi ziwafikie

Naomba kujuzwa uhusiano wa kiasi cha mafuta unachoweka kwenye gari na matumizi yake. Zipo habari kwamba ukiweka mafuta mengi kwenye tenki la gari yako (mfano full tank), yanadumu muda mrefu kuliko ukiwa unaweka kidogo kidogo (vibaba). Ikoje hii technically.

Nawasilisha
 
Wakuu heshima nyingi ziwafikie

Naomba kujuzwa uhusiano wa kiasi cha mafuta unachoweka kwenye gari na matumizi yake. Zipo habari kwamba ukiweka mafuta mengi kwenye tenki la gari yako (mfano full tank), yanadumu muda mrefu kuliko ukiwa unaweka kidogo kidogo (vibaba). Ikoje hii technically.

Nawasilisha
Mechanism ya uchomaji wa mafuta ni ile ile... Hakuna ukwel wowote juu ya hilo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom