Naombeni ushauri, kuna mfanyakazi alikuwa mtumishi wa serikali aliazimwa kutoka serikalini na kufanya kazi kwenye Chuo fulani cha Private alikuwa Mwalimu na alikuwa Mkuu wa Chuo.
Baadae uchumi ulianza kuyumba kwani kilikosa wanafunzi na hatimae kufungwa!. Mkuu huyo alikuwa anaishi kwenye nyumba ya Taasisi kwa kulipia( alikuwa akikatwa kwenye mshahara).
Baada ya Chuo kufungwa aliendelea kuishi kwenye lakini hakulipa pesa yoyote ya kodi, wakati wa utumishi wake Kuna miezi Kama 10 contributions za PSSSF hazikulipwa zote asilimia 20, ikumbukwe pia baada ya Chuo kufungwa aliomba kurudi serikalini kwani alikuwa ameazimwa na hivyo amesitaafu akiwa serikalini.
Sasa ameleta madai ya PSSSF yake ambayo haikulipwa na alipewa notisi ya kukumbushwa kulipa Kodi na baadae akapewa notisi ya kukabidhi lakini anadai hawezi kukabidhi nyumba mpaka alipwe madai yake ya PSSSF kwanza kwani kule Kuna Gaps.
Hii kisheria imekaaje?.
Najarbu kufikiria Uhusiano wa kung'ang'ania kwenye nyumba na madai ya PSSSF upo wapi?
Baadae uchumi ulianza kuyumba kwani kilikosa wanafunzi na hatimae kufungwa!. Mkuu huyo alikuwa anaishi kwenye nyumba ya Taasisi kwa kulipia( alikuwa akikatwa kwenye mshahara).
Baada ya Chuo kufungwa aliendelea kuishi kwenye lakini hakulipa pesa yoyote ya kodi, wakati wa utumishi wake Kuna miezi Kama 10 contributions za PSSSF hazikulipwa zote asilimia 20, ikumbukwe pia baada ya Chuo kufungwa aliomba kurudi serikalini kwani alikuwa ameazimwa na hivyo amesitaafu akiwa serikalini.
Sasa ameleta madai ya PSSSF yake ambayo haikulipwa na alipewa notisi ya kukumbushwa kulipa Kodi na baadae akapewa notisi ya kukabidhi lakini anadai hawezi kukabidhi nyumba mpaka alipwe madai yake ya PSSSF kwanza kwani kule Kuna Gaps.
Hii kisheria imekaaje?.
Najarbu kufikiria Uhusiano wa kung'ang'ania kwenye nyumba na madai ya PSSSF upo wapi?