Kuna ukwel wowote hukusu kama mke wako akiwa mjauzito mume wake akajisikia vibaya kutokana na mimba ya mke wake ( kijisikia vibaya ,mwili kuchoka ) na kama kweli tiba yake ni nn?
Kuna ukwel wowote hukusu kama mke wako akiwa mjauzito mume wake akajisikia vibaya kutokana na mimba ya mke wake ( kijisikia vibaya ,mwili kuchoka ) na kama kweli tiba yake ni nn?
Mimba ya kwanza niliugua sana kiuno; mimba ya pili uchovu na mdomo mchungu kama nina malaria au uti nilijisikia hali hyo hadi alipojifungua ndo ikakoma