Uhusiano wa mtoto kuumwaumwa na mila

Uhusiano wa mtoto kuumwaumwa na mila

Epateletech

Member
Joined
Jun 17, 2015
Posts
45
Reaction score
20
Kuna uhusiano gani wa mtoto kuumwa umwa mara achemke mara infections yaani taflani nakosa raha mkienda hospital hana ugonjwa mtoto anakaribia mwaka kuna mtu kanambia eti nimpeleke nyumbani nakozaliwa atapona.
 
Mpeleke mtoto akakanyage ardhi ya kwao, bibi na babu wambusu, wamtie machoni pao, kisha mrudi mnakoishi muishi kwa raha mustarehe..

Pia jitahidi ukijifungua, bibi mzaa baba aje japo kwa muda mfupi kama haiwezekani kukaa muda mrefu..
 
Sijui,, lakini hata ukienda huko nyumbani chukua udongo wa huko na wa hapo unapoishi changanya na uchukue uuloweke kwenye maji kidogo mnyweshe na yanayobaki muogeshe.
Tuliambiwa hivyo zamani ichukue ukiona inafaa na ukiona haifai achana nayo.
 
Sijui,, lakini hata ukienda huko nyumbani chukua udongo wa huko na wa hapo unapoishi changanya na uchukue uuloweke kwenye maji kidogo mnyweshe na yanayobaki muogeshe.
Tuliambiwa hivyo zamani ichukue ukiona inafaa na ukiona haifai achana nayo.
Shukurani
 
Sijui,, lakini hata ukienda huko nyumbani chukua udongo wa huko na wa hapo unapoishi changanya na uchukue uuloweke kwenye maji kidogo mnyweshe na yanayobaki muogeshe.
Tuliambiwa hivyo zamani ichukue ukiona inafaa na ukiona haifai achana nayo.
Shukurani
 
Back
Top Bottom