Uhusiano wa nyota na binadamu

p_ambitious

Member
Joined
Dec 17, 2014
Posts
6
Reaction score
0
Habari za sahizi wakuu wa JF?

leo asubuhi katika kusoma kwangu biblia nikapata kujiuliza maswali kidogo juu ya mamajusi au magi kwa kiingereza baada ya wao kuona nyota na kugundua kuna mfalme ambaye ni yesu kuwa amezaliwa..

Swali ni kuna uhusiano gani hapo kati ya nyota na yesu? na je ni kweli kuwa kila binadamu anaweza kuwa na nyota yake??
Naombeni kujuzwa.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…