HABARI WANA JF, KWANZA KABISA NATANGULIZA POLE SANA KWA WALIOKOSA MIKOPO WASIKATE TAMAA PIA NAWAPA HONGERA WALIOFANIKIWA KUPATA NAWASHAURI WAKASOME KWA BIDII.
MIMI NIMEJARIBU KUFUATILIA SANA WALIOKOSA MIKOPO WALIO WENGI KARIBU NA MIMI NI WALE WALIOSOMA SHULE ZA GHARAMA PIA WALICHAGUA COZ ZA NON PRIORITY ESPECIALLY OUT OF ualimu, uhandisi, sayansi ya kilimo, sayansi ya wanyama, sayansi ya tiba na hisabati. JE KUNA UKWELI WOWOTE WA HILI ?
yes ni kweli wame-put into consideration shule ambazo muhusika alisoma kama ulisoma shule za kulipia o level na a level then ukachaguliwa non priority course hapo mkopo haukuhusu kiroho safi.
wakuu kuna hii ishu ya family background...wazazi....sijui kama mnajua!!!
nlikua nasemea kama mtu kapata loan akiwa na prog ya non priority...ndo hapo unaweza kuta mzazi hayupo au hawapo...ila kama ni priority na wazazi wana uwezo ni ishu kupata loan!!!Baba engineer mama Afisa mawasiliano wa Vodacom hapo hata uwe umeomba priority lazima ulambe NIL
nlikua nasemea kama mtu kapata loan akiwa na prog ya non priority...ndo hapo unaweza kuta mzazi hayupo au hawapo...ila kama ni priority na wazazi wana uwezo ni ishu kupata loan!!!
ni kweli waliosoma st kayumba kwa kiasi kikubwa wamepata mikopo na ni kiasi kikubwa ili weng wao wenye div one na two...mimi nipo bba na nimepata wa kutosha pale mzumbe ingawa olevel nimesoma private na advance ya kata....na best angu kasoma pandaili ya mbeya ada yao ilikuwa zaid ya mil moja na mpaka sasa kafanikiwa kumuona mtu mmoja tu aliepata kutoka shule yao facult baed....na yeye kakosa pia hivyo angalau mwaka huu wamezingatia vigezo kimtindo...swali la kujiuliza watu wa mzumbe wote wamesoma serikalini
Sidhani kama kuna ukweli wowote hapa,inamaana wale wote wa NON-PRIORITY waliopata mikopo walisoma gvt schools? Embu waje watuambie hapa. Binafsi nimetoka prvate schools na nimepata loan isipokuwa nimepangwa PRIORITY course.