Gender ina determine thinking pattern ya mtu. Wanawake huwa wanazama zaidi kwenye mambo ya imani na wanaikazania....... iwe ya kidini au uchawi. Nenda makanisani uone wengi ni gender ipi?. Uliza waendao kwa waganga wa kienyeji wengi ni akina nani,. Walioenda kwa Mzee Mwasapila kwa kikombe kwa wingi ni wapi>
Kuhusu wanaume kuwa vichaa kwa wingi ni kuwa jamii yetu inawategemea wanaume wawe na solution of almost each and everything. Wanaposindwa si rahisi mwanamme kukubali kuwa umeshindwa. Na wakati mwingine jamii zetu zinatulazimisha kukomaa na matatizo kwa kusema "jikaze, wewe mwanamume". Tukishindwa kuhimili = Personality disintegration. Yaani unakuwa KICHAA.