Uhusiano wa utitiri na misiba wafugaji wa kuku hasa wakienyeji wataelewa

Uhusiano wa utitiri na misiba wafugaji wa kuku hasa wakienyeji wataelewa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Utitiri ni wadudu wadogo sana weupe hutokea kwenye mabanda ya kuku. Unapookota mayai au kufagia banda wanakurukia. Sijafahamu wanatokana na nini lakini huwa wanakera sana.

Ukitokea msiba, ukienda tu msibani ukirudi utitiri umetoweka. Hili ni fumbo lililonisumbua sana utotoni.
 
Ukienda msibani ukirudi huo utitiri unatoweka mwilini au kwenye mabanda ya kuku?
 
tuma picha tuone
1647605497735.png
 
Utitiri ni wadudu wadogo sana weupe hutokea kwenye mabanda ya kuku. Unapookota mayai au kufagia banda wanakurukia. Sijafahamu wanatokana na nini lakini huwa wanakera sana.

Ukitokea msiba, ukienda tu msibani ukirudi utitiri umetoweka. Hili ni fumbo lililonisumbua sana utotoni.
Utitiri wa watu
Au utitiri wadudu
 
Back
Top Bottom