Uhusiano wa utitiri na misiba wafugaji wa kuku hasa wakienyeji wataelewa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Utitiri ni wadudu wadogo sana weupe hutokea kwenye mabanda ya kuku. Unapookota mayai au kufagia banda wanakurukia. Sijafahamu wanatokana na nini lakini huwa wanakera sana.

Ukitokea msiba, ukienda tu msibani ukirudi utitiri umetoweka. Hili ni fumbo lililonisumbua sana utotoni.
 
Ukienda msibani ukirudi huo utitiri unatoweka mwilini au kwenye mabanda ya kuku?
 
Utitiri wa watu
Au utitiri wadudu
 
Kwa Steve nyerere (tive ake) anasemaje maana ndo mtaaalamu wa misiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…