Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

Mmmh, sina uhakika
Kuna sehemu nimesimulia kama video ya ngono!

Namuomba Mwenyezi Mungu anisamehe kwa makosa niliyofanya!

Ila yapo ya kujifunza mengi.

James Jason
Mola atusamehe sote ....

Itakuwa ni swadaqat kwa pale ulichoandika kitakuwa na manufaa ya elimu kwetu tuliosoma


Allah ndo mjuzi wa kutambua na kuhukumu kama ni dhambi au la ila kwetu imekuwa ni elimu iliyokuja kwa njia ya burudani na kamwe isingechosha hata ungeandika kwa muongo mzima
 
Mengi wameuliza na kuandika wenzangu, nami nitoe zangu pongezi kwa uandishi na kiwango kikubwa cha kumbukumbu ulichanacho,tunasafiri kwa taswira, Ahsante kwa kutushirikisha kisa hiki lakini ningependa kujua siri nyuma ya “23” 😀😀😀kama hutojali tafadhali
 
Kila muda najaribu kurudi labda ntakuta mzee anasema kuna vitu alisahau akati anasimulia hivyo ameweka mwendelezo Ila hola. Shukrani za dhati kabisa zikuendee msimuliaji kwa yote ambayo uliona vijana wako tujifunze na za pili ziende kwa mama yetu kwa kuamua kukuruhusu ili ushee nasi kumbukumbuku hii ya maisha yenu.
 
Ulizeni maswali kwa nia ya kujifunza, naweza kujikuta naongezea nyama nyama!

James Jason
 
Yes, kuna kitu nimekukumbuka, if I'm right, ulisema mwanamke yeyote aweza kurusha maji,

Hapo ni kusema sex tunayoduu ni ya kijuu juu no utaalam, au ndo hivyo ili mradi mtu kaja na minyege yake yaani kiss kidogo hivyo kamaliza anakuacha mmmh, swali hili refu haliishi, mengine malizia
Ulizeni maswali kwa nia ya kujifunza, naweza kujikuta naongezea nyama nyama!

James Jason

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hakika atakua amekusikia.... Ngoja aje...


Cc: mahondaw
 
Nitajibu hii kwa kirefu.

James Jason
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…