Uhusiano wawasanii na manabii

Uhusiano wawasanii na manabii

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Siku za hivi karibuni nimeona wasanii wa kidunia wakijitokeza kwa manabii sio kwamba wanaokoka na kumrudia Mungu hapana tumeona shughuli zimeendelea kama kawaida kufanya anasa

Diamond na clear malisa
Harmonize na pastor Tony
Rayvan na mwamposa

Nakaa najiuliza Hawa vijana huwa ni kiki zao tu Kuna jambo linaendelea sababu Hawa manabii wanaowawekea mikono nao huwa wanahusishwa na nguvu za giza
 
Wasanii wana influence sio wanatumika makanisani Ila hata katika siasa

Sheikh Kishiki na Sinura majana na Piere Liquid
 
Back
Top Bottom