Uingereza inafikiria kumpa kazi mwanamke kuinoa timu ya taifa ya wanaume

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438
Baada Ya kuipa mafanikio timu ya taifa wanawake ya uingereza kwa kuiwezesha kutwaa mataji ya ulaya na kufikia hatua ya fainali kombe la dunia, uingereza inafikiria kumpa kazi ya kuinoa timu ya taifa ya wanaume mwanamama sarina wiegman.

hiyo ni ikiwa kocha wa sasa bw.southgate atastaafu au atakapomaliza mkataba wake.

hayo ni kwa mujibu wa mtendaji mkuu wa chama cha soka cha uingereza, FA bw. Buckingham.

source: espn
 
Kwamba wanafananisha ushindani wa mpira wa wanaume na wanawake.anyway nisiseme sana maana ya uku kwetu yenyewe yanatushinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…