JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Uingereza imekumbwa na maambukizi mapya ya Virusi vya monkeypox kwa watu 36 kubainika kuwa na maambukizi hayo, hivyo jumla ya watu ndani ya muda mfupi walioambukizwa imefikia 57.
Takwimu hizo ni hadi kufikia jana usiku Mei 23, 2022, ambapo wagonjwa wanakumbwa na upere mkubwa mwilini ikiambatana na homa.
Pamoja na hivyo wataalamu wa afya Nchini humo wamesema kuwa uwekezekana wa kudhibitiwa bado ni mkuwa na hakuna mkakati wa kuzuia watu kuingia Uingereza.
=========
The UK Health Security Agency (UKHSA) says it has detected 36 additional cases of monkeypox in England.
Adding in a new case found in Scotland on Monday, it brings the total number of infections in the UK to 57.
The rare virus - which causes a rash and a fever - has been seen around the world in recent weeks, which is unusual.
Health experts stress that the overall risk remains low, and that the disease can be contained.
Northern Ireland's Public Health Agency and Public Health Wales each said they have had no confirmed cases.
Downing Street has said there are no plans to hold a meeting of the Cobra emergency committee over monkeypox, or to impose any travel bans.
Chelsea and Westminster Hospital in London has said "around 10" staff in its sexual health clinic are self-isolating at home after coming into close contact with a patient with monkeypox.
Dr Claire Dewsnap, president of the British Association for Sexual Health and HIV, told the BBC that "up to 10 staff" at a second sexual health clinic were also self-isolating. The location has not been revealed.
Clinics have now brought in stringent Personal Protective Equipment requirements when dealing with the virus.
About 100 confirmed cases have been recorded globally so far.
Source: BBC