Uingereza na Ufaransa wanaandamana kwa ugumu wa maisha, Lissu na CHADEMA changamkieni tenda ya kutengeneza Katiba Mpya kule

Katiba inaruhusu lakini maza akiamua maandamano yasifanyike yeanasakizia polisi tu, kama alivyokuwa anafanya jiwe na hakuna kitu cha kumfanya.
Sasa tofauti yetu na wenzetu sio katiba nzuri tu, maana hata hiyo katiba nzuri imepatikana kutokana na aina ya watu wao wenyewe. Sasa kama sisi bado hatuja staharabika hatuheshimu katiba ndio tutegemee hiyo katiba mpya ndio itatubadili hivi tulivyo au ina maajabu gani ambayo itazuia isiathiriwe na huku kutokustaharabika kwetu na kutokuheshimu katiba?
 
Jungu kuu halikosi ukoko mkuu,maisha ya UK/France tofauti na huku.

Kule Chris Lukosi anauza "makinikia" lakini ni bilionea.
 
Miye kiliochangu ni bando tuu tangu Nape apewe rungu tunaibiwa tuuu alafu yeye anatukejeli kama siye watoto. Hata kuweka bando mtu afanye application ya kazi tuu bando la buku mbili halimalizi dk 20 ukiwa umefungua tuu browse ya ajira portal. Hawa jamaa wenye vitambi wajifikiri upya wanatupeleka kubaya hata kama nikuiba Kwa nafasi zao huku kumezidi. Kwani ma v8 hayawatoshi kuzurura nayo mpaka mje mtunyonye siye wa chini huku unakuta siku imekatika umetumia zaidi ya 5000 kwenye bando mtu mmoja kwenye familia kweli tutafika……mwaka jana tuu nilikuwa nikiweka 10,000 bando karibia mwezi namaliza….. mtu wangu alivyoanza onja asali sikuizi hata siku mbili simalizi…..
 
Hao wajinga wakubwa wasiojua kwanini katiba mpya iwepo na wenye kujua kwa nini katiba mpya iwepo unadhani ni kundi gani ndio wako wengi?
Wengi hawajui hata katiba ina maana gani. Mazwazwa wakubwa hao! Upo wapi yakhe!
 
Walau watu watashitakiwa wakitoka madarakani watakuwa na hofu kufanya uzembe tofauti na sasa. Rais ana immunity akiamua kufukuza kazi watumishi wote hakuna kitu mtamfanya.
 
Kumbe na wewe ni wale wale!
 
Upumbavu katika hili swali ni sawa na mtoto anayelalamika amefeli kwa sababu shule haikuwa na walimu wa kutosha, vitabu, chakula na madawati ya kukalia halafu mzazi wake anamuambia mbona mwenzake kwenye shule hiyo amefaulu sawa na waliopo Feza na mbona wengine wa Feza wamefili pia kama yeye.
Kuna hoja ya kwamba kila kitu kinahusiana na katiba na hivyo matatizo yetu yanahusiano moja kwa moja na katiba, ndio maana huu uzi unahoji vp kwa hao wenzetu kwamba nao katiba zao zimepungua nini?
 
Wengi hawajui hata katiba ina maana gani. Mazwazwa wakubwa hao! Upo wapi yakhe!
Halafu hapo hapo mnasema hao wasiojua hata katiba ina maana gani ndio mnasema wanataka katiba mpya ila waoga kudai katiba mpya, inawezekanaje hiyo?
 
Ndio umeandika nini?
 
Walau watu watashitakiwa wakitoka madarakani watakuwa na hofu kufanya uzembe tofauti na sasa. Rais ana immunity akiamua kufukuza kazi watumishi wote hakuna kitu mtamfanya.
Hiyo ndio point kubwa ya hitaji la katiba mpya?
 
Watu wanatakiwa kuelewa kwamba mfumo wa Maisha hauratibiwi na jambo Moja kama Chadema wanavyotaka kuaminisha wajinga..

Katiba Mpya haitakulimia shamba na kutoa njaa😁😁
100% uko sahihi ingawa huwa sikubaliani na wewe kwa mambo kedekede
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…